Accessibility links
Skip to main content
Skip to main Navigation
Skip to Search
Home
United States
U.S. News
All About America
Silicon Valley & Technology
Immigration
World
Africa
The Americas
East Asia
Europe
Middle East
South & Central Asia
Ukraine
Press Freedom
China
Iran
Broadcast Programs
Follow Us
Languages
Search
Search
Previous
Next
Breaking News
Ghasia za kisiasa Sudan Kusini
December 18, 2013 4:21 PM
update
December 23, 2013 0:23 AM
Mapigano Sudan Kusini yameenea zaidi ya mji mkuu Juba, ambako yalianza Jumapili katika kile serikali ilichosema ni jaribio la mapinduzi. Mataifa jirani ya IGAD yanafanya juhudi za usuluhishi wa amani.
1
Wakenya wanawasili nyumbani baada ya kusafirishwa kutoka Juba Sudan Kusini na ndege ya jeshi la anga la Kenya kwenye uwanja wa ndege wa Wilson Airport Nairobi, Kenya Sunday, Dec. 22, 2013.
2
wanajeshi wa SPLA wakipiga doria wakitumia lori la kijeshi mjini Juba December 21, 2013. Huku wapatanishi wa nchi za Kiafrika wakijaribu kukutana na wapinzani wa Rais salva Kiir wa Sudan Kusini siku ya Jumamosi. REUTERS/Stringer
3
Watu walokusanyika katika kambi y muda ndani ya uwanja wa makao makuu ya Umoja wa Mataifa huko Sudan Kusini (UNMISS) mjini Juba Dec. 22, 2013.
4
Raia wanaokimbia ghasia wanapata hifadhi ndani ya uwanja wa makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini Bor, jimbo la Jonglei Sudan Kuisni, Dec. 18, 2013.
Load more
Ghasia za kisiasa Sudan Kusini
Back to top
XS
SM
MD
LG