VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

24 Novemba 2009 

Leo VOA:

Habari katika Lugha 45
Bomu la kando kando ya barabara lamwua afisa mwandamizi wa Somalia.

02/11/2009

Maafisa wa ulinzi nchini somalia wamesema bomu la kutegwa kandokando ya barabara katika eneo lililojitenga limemuuwa afisa mwandamizi wa jeshi na watu wengine wawili.

Maafisa katika jimbo lililojitenga la Somaliland walisema jumapili kuwa bomu lililoteguliwa kutoka mbali lilimuua kamanda wa wanajeshi wa kitengo cha kinachofanya doria kwa miguu, osman yusuf.

Shambulizi lilifanyika katika mji wa lascanood ambalo yote Somaliland na Puntland yanadai ni la kwao.


E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya

  Mahojiano zaidi