VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

24 Novemba 2009 

Leo VOA:

Habari katika Lugha 45
Chanjo mpya ya Malaria

02/11/2009

 Wataalamu wa Malaria wanaokutana mjini Nairobi wasema chanjo mpya imegunduliwa ya kujikinga na ugonjwa huo. Rais wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo yuko Harare kwa mazungumzo maalum.


E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mapya

  Mahojiano zaidi