VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Mama wa Mtanzania Anayeshukiwa kwa Ugaidi Azungumza


22/05/2009

defenselink pentagon attack 02oct01 150.jpg
Mshitakiwa wa kwanza wa kesi inayohusu ulipuaji mabomu balozi za Marekani nchini Tanzania na Kenya mwaka 1998, anatarajiwa kufikishwa mahakamani mjini New York. 

Ahmed Kahlfan Ghailani, raia wa Tanzania ambaye amekuwa akishikiliwa katika gereza la Guantanamo Bay, Cuba anatuhumiwa kuhusika na ulipuaji huo wa mabomu na vifo vya watu zaidi ya 200. 

Mama mzazi wa Ghailani, Bimkubwa Said Abdullah aliiambia Sauti ya Amerika kuwa angependa kuhudhuria kesi ya mwanae mara tu itakapoanza kusikilizwa mjini New. 

Mkurugenzi wa upelelezi nchini Tanzania, Robert Manumba alisema kwa kuwa tukio la kigaidi lilitokea Tanzania mashahidi kadhaa wataondoka nchini humo kwenda New York kutoa ushahidi.


Download Tanzania Ugaidi
Fungua  (MP3)
Listen to This Report Tanzania Ugaidi
Sikiliza (MP3)
E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
Marekani na India kuimarisha ushirikiano wao

  Mahojiano zaidi
Rais Umaru Yar'Dua wa Nigeria, kwenda Saudi Arabia kwa matibabu
Suala la Ardhi EAC Lafafanuliwa  Audio Clip Available
CUF yafurahishwa na hotuba ya Karume  Audio Clip Available
Israel na Misri zatoa mwito wa amani
EAC yakubaliana juu ya soko la pamoja  Audio Clip Available
Hatari ya gesi katika Ziwa Kivu  Audio Clip Available
Kielelezo cha Katiba Kenya Kujadiliwa  Audio Clip Available
Marais Obama na Hu wajadili uchumi kati ya Marekani na China
Umoja wa Mataifa waahidi kuteketeza baa la njaa duniani  Audio Clip Available
Wanawake watoa wito wa mabadiliko Zanzibar  Audio Clip Available
Mafuriko yaongezeka Tanzania  Audio Clip Available
Chama cha Bemba DRC chaelekea kugawanyika
Mapendekezo ya Katiba mpya Kenya kuchapishwa karibuni
WHO: wanawake wabaguliwa kupata huduma za afya
Miaka 20 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin
Chanjo ya Malaria Yakaribia  Audio Clip Available