VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Mama wa Mtanzania Anayeshukiwa kwa Ugaidi Azungumza


22/05/2009

defenselink pentagon attack 02oct01 150.jpg
Mshitakiwa wa kwanza wa kesi inayohusu ulipuaji mabomu balozi za Marekani nchini Tanzania na Kenya mwaka 1998, anatarajiwa kufikishwa mahakamani mjini New York. 

Ahmed Kahlfan Ghailani, raia wa Tanzania ambaye amekuwa akishikiliwa katika gereza la Guantanamo Bay, Cuba anatuhumiwa kuhusika na ulipuaji huo wa mabomu na vifo vya watu zaidi ya 200. 

Mama mzazi wa Ghailani, Bimkubwa Said Abdullah aliiambia Sauti ya Amerika kuwa angependa kuhudhuria kesi ya mwanae mara tu itakapoanza kusikilizwa mjini New. 

Mkurugenzi wa upelelezi nchini Tanzania, Robert Manumba alisema kwa kuwa tukio la kigaidi lilitokea Tanzania mashahidi kadhaa wataondoka nchini humo kwenda New York kutoa ushahidi.


Download Tanzania Ugaidi
Fungua  (MP3)
Listen to This Report Tanzania Ugaidi
Sikiliza (MP3)
E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
AU ina wawekea vikwazo viongozi wa Madagascar

  Mahojiano zaidi
Ghasia za kidini zaibuka tena Nigeria
Jacob Zuma awasili Zimbabwe kutatua mzozo wa kisiasa
Wataalamu wa ukimwi eneo la IGAD wakutana Kenya  Audio Clip Available
Wabunge Kenya wamtaka Mudavadi ajiuzulu  Audio Clip Available
Wakimbizi wengi wa Sudan wamerudi nyumbani
Kenya na Congo zatajwa katika ripoti ya haki za binadamu  Audio Clip Available
Ukarabati wa barabara ya Uganda na Rwanda waanza
Tahadhari yatolewa kuhusu uchaguzi Sudan
Afisa wa Marekani aomba msamaha kwa Libya
Bill Gates Ashuka Daraja katika Utajiri
Wakazi laki tano kuhamishwa Uganda
Baadhi ya maeneo Burundi yakumbwa na njaa  Audio Clip Available
Matukio ya Upigaji majumbani yaongezeka Kenya
Wakenya Wataka majina 20 ICC yafichuliwe  Audio Clip Available
Uganda yaongoza EA katika orodha ya FIFA
Sarkozy Akiri Makosa ya Ufaransa
Ratiba ya Kombe la Afrika 2012 Yapangwa