VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Raila: Uongozi Mbaya Unachelewesha Maendeleo Afrika


26/05/2009

Raila Odinga (file photo)
Akiongea na Sauti ya Amerika muda mfupi kabla ya kutoa hotuba yake katika chuo kikuu cha Buffalo, New York, Waziri Mkuu Odinga alisema kuwa mfumo mbaya wa uongozi umewanyima Waafrika haki ya kupanga namna ya kujiletea maendeleo yao wenyewe. 

Bwana Odinga alisema kuwa Afrika inahitaji mabadiliko yatakayo saidia kupunguza mamlaka kupita kiasi yaliyowekwa katika taasisi za urais. Alisema hili litasaidia kuondokana na mifumo ya kidikteta, na kuingia mfumo wa uongozi wa kidemokrasia utakao wapatia mamlaka wananchi. 

Akizungumza kuhusu suala la rushwa na mvutano wa kisiasa katika serikali ya mseto ya Kenya, Waziri Mkuu Odinga alisema kuwa tayari kuna maendeleo yaliyo patikana tangu ilipoundwa serikali ya mseto. 

Hatahivyo, Bwana Odinga alikiri kuwa kumekuwepo na matatizo kadhaa katika serikali hiyo, lakini pia akasema mabadiliko tayari yanafanyika. 

Alitoa mfano wa tume mpya ya uchaguzi ambayo imeundwa hivi karibuni, na kwamba Kenya iko katika harakati za kuunda tume ya ukweli, kaki na maridhiano itakayo saidia kuponya vidonda vilivyo patikana wakati wa machafuko yaliyofuatia uchaguzi wa nchi hiyo.


Download Odinga-US-Africa
Fungua  (MP3)
Listen to This Report Odinga-US-Africa
Sikiliza (MP3)
E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
Mapendekezo ya Katiba mpya Kenya kuchapishwa karibuni

  Mahojiano zaidi
Jenerali Kazini wa Uganda auawa na mpenzi wake
WHO: wanawake wabaguliwa kupata huduma za afya
Maharamia wa Somalia washambulia Meli Bahari ya Mbali
Miaka 20 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin
MDC yatoa siku 30 za suluhisho Zimbabwe
Ocampo ataomba uchunguzi kuhusu ghasia Kenya
Warepublican na Wademocratic watofautiana juu ya ushindi Marekani  Audio Clip Available
Wakimbizi wa Congo warudi nyumbani
Chanjo ya Malaria Yakaribia  Audio Clip Available
Operesheni "rudi nyumbani" Kenya yaingia dosari  Audio Clip Available
AU yajaribu kutanzua mzozo wa Madagascar
Wauaji wa Albino wahukumiwa vifo  Audio Clip Available
Kabila atafuta suluhisho kwa Zimbabwe
Makundi ya kutetea haki Zimbabwe yasusia mkutano wa serekali.
Viongozi wa AU waizungumzia mzozo wa Darfur
Habari kuu Kenya na Marekani wiki hii  Audio Clip Available
Marekani yaiwekea Sudan vikwazo
Msumbiji wapiga kura kwa amani
Burundi inawatia kizuzini mabalozi wake wawili  Audio Clip Available
Rais Mugabe na Tsvangirai washindwa kuelewana
Marekani inamnyima afisa wa juu Kenya visa  Audio Clip Available
Kampeni za uchaguzi mkuu Msumbiji za pamba moto
Mkataba mpya wa waliopoteza makazi Afrika
Kiongozi wa Mungiki aachiwa huru  Audio Clip Available
Afrika kusaini makubaliano kuwalinda wakimbizi
Al-Shabab wajaribu kumshambulia rais wa Somalia  Audio Clip Available
Guinea kupelelezwa kwa kukiuka Haki za Binadamu
Wakfu wa Mandela Wakanusha Madai
Jumuia ya kimataifa haiwasaidi IDP's wa Somalia
Kibaki awaahidi wakenya katiba mpya  Audio Clip Available
Hakuna anayestahili tuzo la Mo Ibrahim 2009
MDC yaacha kujihusisha na serikali ya Umoja ya Zimbabwe
Ghana yachukua kombe la Dunia chini ya miaka 20
Afrika Mashariki yazidi kukumbwa na njaa  Audio Clip Available
Dunia yamkumbuka Mwalimu  Audio Clip Available
HRW yaishutumu DRC kutowajali raia wake
Obama apokea kwa mshangao na unyenyekevu tunzo ya amani  Audio Clip Available
Waathirika wa Mabomu 1998 Tanzania waandaa Kesi  Audio Clip Available