VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Obama Ziarani Mashariki ya Kati

03/06/2009

President Barack Obama (l) and Saudi King Abdullah at the King's Farm in Riyadh, 03 Jun 2009
Rais Barack Obama na Mfalme Abdullah, mjini Riyadh June 3 2009
Rais wa Marekani Barack Obama amepokelewa kwa heshima kamili za kiongozi kwa gwaride la kijeshi na viongozi wote wa serekali ya Saudi Arabia wakiongozwa na mfalme Abdullah huko Riyadh. 

Alipowasili Bw Obama akasifu uhusiano muhimu na historia ya urafiki wa muda mrefu kati ya nchi zao mbili. Alisema amewasili mahala Uislamu ulianza ili kushauriana na mfalme wa Saudia juu ya masuala yanayoikabili mashariki ya kati. 

Viongozi hao wawili wakaelekea kwenye shamba la mfalme kwa mazungumzo ya faragha juu ya ugomvi wa Israel na Palestina, jukumu la Iran katika eneo hilo na bei za mafuta duniani.

Rais wa Marekani ataelekea Misri kesho kutoa hotuba inayosubiriwa kwa muda mrefu kwa jumuia ya kislamu, ambayo itazungumzia juu ya utaratibu wa Mashariki ya Kati na masuala ya siasa kali za kidini na ghasia. 

Huko Misri wanajitayarisha kumpokea Rais Obama na wakimchukulia kua mtu ambae huwenda atakua na fimbo la uchawi kutanzua mzozo wa Mashariki ya Kati kama anavyoeleza mwandishi habari Ismael Mfaoume huko Cairo.


Download Obama Misri
Fungua  (MP3)
Listen to This Report Obama Misri
Sikiliza (MP3)
E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
Suala la Ardhi EAC Lafafanuliwa  Audio Clip Available

  Mahojiano zaidi
Rais Umaru Yar'Dua wa Nigeria, kwenda Saudi Arabia kwa matibabu
CUF yafurahishwa na hotuba ya Karume  Audio Clip Available
Israel na Misri zatoa mwito wa amani
EAC yakubaliana juu ya soko la pamoja  Audio Clip Available
Hatari ya gesi katika Ziwa Kivu  Audio Clip Available
Kielelezo cha Katiba Kenya Kujadiliwa  Audio Clip Available
Marais Obama na Hu wajadili uchumi kati ya Marekani na China
Umoja wa Mataifa waahidi kuteketeza baa la njaa duniani  Audio Clip Available
Wanawake watoa wito wa mabadiliko Zanzibar  Audio Clip Available
Mafuriko yaongezeka Tanzania  Audio Clip Available
Chama cha Bemba DRC chaelekea kugawanyika
Mapendekezo ya Katiba mpya Kenya kuchapishwa karibuni
WHO: wanawake wabaguliwa kupata huduma za afya
Miaka 20 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin
Chanjo ya Malaria Yakaribia  Audio Clip Available