VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Obama Ziarani Mashariki ya Kati

03/06/2009

President Barack Obama (l) and Saudi King Abdullah at the King's Farm in Riyadh, 03 Jun 2009
Rais Barack Obama na Mfalme Abdullah, mjini Riyadh June 3 2009
Rais wa Marekani Barack Obama amepokelewa kwa heshima kamili za kiongozi kwa gwaride la kijeshi na viongozi wote wa serekali ya Saudi Arabia wakiongozwa na mfalme Abdullah huko Riyadh. 

Alipowasili Bw Obama akasifu uhusiano muhimu na historia ya urafiki wa muda mrefu kati ya nchi zao mbili. Alisema amewasili mahala Uislamu ulianza ili kushauriana na mfalme wa Saudia juu ya masuala yanayoikabili mashariki ya kati. 

Viongozi hao wawili wakaelekea kwenye shamba la mfalme kwa mazungumzo ya faragha juu ya ugomvi wa Israel na Palestina, jukumu la Iran katika eneo hilo na bei za mafuta duniani.

Rais wa Marekani ataelekea Misri kesho kutoa hotuba inayosubiriwa kwa muda mrefu kwa jumuia ya kislamu, ambayo itazungumzia juu ya utaratibu wa Mashariki ya Kati na masuala ya siasa kali za kidini na ghasia. 

Huko Misri wanajitayarisha kumpokea Rais Obama na wakimchukulia kua mtu ambae huwenda atakua na fimbo la uchawi kutanzua mzozo wa Mashariki ya Kati kama anavyoeleza mwandishi habari Ismael Mfaoume huko Cairo.


Download Obama Misri
Fungua  (MP3)
Listen to This Report Obama Misri
Sikiliza (MP3)
E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
Mapendekezo ya Katiba mpya Kenya kuchapishwa karibuni

  Mahojiano zaidi
Jenerali Kazini wa Uganda auawa na mpenzi wake
WHO: wanawake wabaguliwa kupata huduma za afya
Maharamia wa Somalia washambulia Meli Bahari ya Mbali
Miaka 20 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin
MDC yatoa siku 30 za suluhisho Zimbabwe
Ocampo ataomba uchunguzi kuhusu ghasia Kenya
Warepublican na Wademocratic watofautiana juu ya ushindi Marekani  Audio Clip Available
Wakimbizi wa Congo warudi nyumbani
Chanjo ya Malaria Yakaribia  Audio Clip Available
Operesheni "rudi nyumbani" Kenya yaingia dosari  Audio Clip Available
AU yajaribu kutanzua mzozo wa Madagascar
Wauaji wa Albino wahukumiwa vifo  Audio Clip Available
Kabila atafuta suluhisho kwa Zimbabwe
Makundi ya kutetea haki Zimbabwe yasusia mkutano wa serekali.
Viongozi wa AU waizungumzia mzozo wa Darfur
Habari kuu Kenya na Marekani wiki hii  Audio Clip Available
Marekani yaiwekea Sudan vikwazo
Msumbiji wapiga kura kwa amani
Burundi inawatia kizuzini mabalozi wake wawili  Audio Clip Available
Rais Mugabe na Tsvangirai washindwa kuelewana
Marekani inamnyima afisa wa juu Kenya visa  Audio Clip Available
Kampeni za uchaguzi mkuu Msumbiji za pamba moto
Mkataba mpya wa waliopoteza makazi Afrika
Kiongozi wa Mungiki aachiwa huru  Audio Clip Available
Afrika kusaini makubaliano kuwalinda wakimbizi
Al-Shabab wajaribu kumshambulia rais wa Somalia  Audio Clip Available
Guinea kupelelezwa kwa kukiuka Haki za Binadamu
Wakfu wa Mandela Wakanusha Madai
Jumuia ya kimataifa haiwasaidi IDP's wa Somalia
Kibaki awaahidi wakenya katiba mpya  Audio Clip Available
Hakuna anayestahili tuzo la Mo Ibrahim 2009
MDC yaacha kujihusisha na serikali ya Umoja ya Zimbabwe
Ghana yachukua kombe la Dunia chini ya miaka 20
Afrika Mashariki yazidi kukumbwa na njaa  Audio Clip Available
Dunia yamkumbuka Mwalimu  Audio Clip Available
HRW yaishutumu DRC kutowajali raia wake
Obama apokea kwa mshangao na unyenyekevu tunzo ya amani  Audio Clip Available
Waathirika wa Mabomu 1998 Tanzania waandaa Kesi  Audio Clip Available