VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Waislamu waridhika na hotuba ya Obama

04/06/2009

 

Rais Barack Obama amesema baada ya miongo kadhaa ya kukereka na kutoaminiana huu ni wakati wa kuanza majadiliano na mwanzo mpya. 

"Nimekuja hapa Cairo kutafuta mwanzo mpya kati ya Marekani na Waislamu kote duniani, kwa msingi wa maslahi ya pamoja na kuheshimiana na wenye msingi wa ukweli kwamba Marekani na Uislamu hazitengani na hamna haja ya kushindana"
President Barack Obama delivers much-anticipated message to Muslim world from auditorium at Cairo University campus, 04 Jun 2009
Rais Barack Obama akitoa hotuba kwa waislamu Duniani Cairo  Juni 04 2009

Ingawa alitoa hotuba yake kwenye ukumbi mkubwa kabisa ulojaa watu katika chuo kikuu cha Cairo, alikua na lengo hasa ya kuzungumza na zaidi waislamu bilioni moja duniani. Rais Obama alisema ni lazima matatizo yatanzuliwe kwa ushirikiano na mivutano inabidi ikabiliwe moja kwa moja.

Hotuba hiyo imepokelewa vyema katika kila pembe ya dunia wengi wakisema ni hatua muhimu ya kuanza majadiliano lakini kunahitajika vitendo kabla ya kuweza kuaminika kwamba serekali ya Marekani inataka kuleta mabadiliko. 

Tumezungumza na watu mbali mbali huko Mashariki ya Kati na Afrika Mashariki na wameelza kwa kiwango kikubwa wameridhika na hotuba hiyo.


Download Maoni kuhusu Hotuba ya Obama Cairo
Fungua  (MP3)
Listen to This Report Maoni kuhusu Hotuba ya Obama Cairo
Sikiliza (MP3)
Download Hotuba ya Obama Cairo
Fungua  (MP3)
Listen to This Report Hotuba ya Obama Cairo
Sikiliza (MP3)
Download Maoni Mombasa Hotuba ya Obama
Fungua  (MP3)
Listen to This Report Maoni Mombasa Hotuba ya Obama
Sikiliza (MP3)
E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
Marekani na India kuimarisha ushirikiano wao

  Mahojiano zaidi
Rais Umaru Yar'Dua wa Nigeria, kwenda Saudi Arabia kwa matibabu
Suala la Ardhi EAC Lafafanuliwa  Audio Clip Available
CUF yafurahishwa na hotuba ya Karume  Audio Clip Available
Israel na Misri zatoa mwito wa amani
EAC yakubaliana juu ya soko la pamoja  Audio Clip Available
Hatari ya gesi katika Ziwa Kivu  Audio Clip Available
Kielelezo cha Katiba Kenya Kujadiliwa  Audio Clip Available
Marais Obama na Hu wajadili uchumi kati ya Marekani na China
Umoja wa Mataifa waahidi kuteketeza baa la njaa duniani  Audio Clip Available
Wanawake watoa wito wa mabadiliko Zanzibar  Audio Clip Available
Mafuriko yaongezeka Tanzania  Audio Clip Available
Chama cha Bemba DRC chaelekea kugawanyika
Mapendekezo ya Katiba mpya Kenya kuchapishwa karibuni
WHO: wanawake wabaguliwa kupata huduma za afya
Miaka 20 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin
Chanjo ya Malaria Yakaribia  Audio Clip Available