VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Waislamu waridhika na hotuba ya Obama

04/06/2009

 

Rais Barack Obama amesema baada ya miongo kadhaa ya kukereka na kutoaminiana huu ni wakati wa kuanza majadiliano na mwanzo mpya. 

"Nimekuja hapa Cairo kutafuta mwanzo mpya kati ya Marekani na Waislamu kote duniani, kwa msingi wa maslahi ya pamoja na kuheshimiana na wenye msingi wa ukweli kwamba Marekani na Uislamu hazitengani na hamna haja ya kushindana"
President Barack Obama delivers much-anticipated message to Muslim world from auditorium at Cairo University campus, 04 Jun 2009
Rais Barack Obama akitoa hotuba kwa waislamu Duniani Cairo  Juni 04 2009

Ingawa alitoa hotuba yake kwenye ukumbi mkubwa kabisa ulojaa watu katika chuo kikuu cha Cairo, alikua na lengo hasa ya kuzungumza na zaidi waislamu bilioni moja duniani. Rais Obama alisema ni lazima matatizo yatanzuliwe kwa ushirikiano na mivutano inabidi ikabiliwe moja kwa moja.

Hotuba hiyo imepokelewa vyema katika kila pembe ya dunia wengi wakisema ni hatua muhimu ya kuanza majadiliano lakini kunahitajika vitendo kabla ya kuweza kuaminika kwamba serekali ya Marekani inataka kuleta mabadiliko. 

Tumezungumza na watu mbali mbali huko Mashariki ya Kati na Afrika Mashariki na wameelza kwa kiwango kikubwa wameridhika na hotuba hiyo.


Download Maoni kuhusu Hotuba ya Obama Cairo
Fungua  (MP3)
Listen to This Report Maoni kuhusu Hotuba ya Obama Cairo
Sikiliza (MP3)
Download Hotuba ya Obama Cairo
Fungua  (MP3)
Listen to This Report Hotuba ya Obama Cairo
Sikiliza (MP3)
Download Maoni Mombasa Hotuba ya Obama
Fungua  (MP3)
Listen to This Report Maoni Mombasa Hotuba ya Obama
Sikiliza (MP3)
E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
Mapendekezo ya Katiba mpya Kenya kuchapishwa karibuni

  Mahojiano zaidi
Jenerali Kazini wa Uganda auawa na mpenzi wake
WHO: wanawake wabaguliwa kupata huduma za afya
Maharamia wa Somalia washambulia Meli Bahari ya Mbali
Miaka 20 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin
MDC yatoa siku 30 za suluhisho Zimbabwe
Ocampo ataomba uchunguzi kuhusu ghasia Kenya
Warepublican na Wademocratic watofautiana juu ya ushindi Marekani  Audio Clip Available
Wakimbizi wa Congo warudi nyumbani
Chanjo ya Malaria Yakaribia  Audio Clip Available
Operesheni "rudi nyumbani" Kenya yaingia dosari  Audio Clip Available
AU yajaribu kutanzua mzozo wa Madagascar
Wauaji wa Albino wahukumiwa vifo  Audio Clip Available
Kabila atafuta suluhisho kwa Zimbabwe
Makundi ya kutetea haki Zimbabwe yasusia mkutano wa serekali.
Viongozi wa AU waizungumzia mzozo wa Darfur
Habari kuu Kenya na Marekani wiki hii  Audio Clip Available
Marekani yaiwekea Sudan vikwazo
Msumbiji wapiga kura kwa amani
Burundi inawatia kizuzini mabalozi wake wawili  Audio Clip Available
Rais Mugabe na Tsvangirai washindwa kuelewana
Marekani inamnyima afisa wa juu Kenya visa  Audio Clip Available
Kampeni za uchaguzi mkuu Msumbiji za pamba moto
Mkataba mpya wa waliopoteza makazi Afrika
Kiongozi wa Mungiki aachiwa huru  Audio Clip Available
Afrika kusaini makubaliano kuwalinda wakimbizi
Al-Shabab wajaribu kumshambulia rais wa Somalia  Audio Clip Available
Guinea kupelelezwa kwa kukiuka Haki za Binadamu
Wakfu wa Mandela Wakanusha Madai
Jumuia ya kimataifa haiwasaidi IDP's wa Somalia
Kibaki awaahidi wakenya katiba mpya  Audio Clip Available
Hakuna anayestahili tuzo la Mo Ibrahim 2009
MDC yaacha kujihusisha na serikali ya Umoja ya Zimbabwe
Ghana yachukua kombe la Dunia chini ya miaka 20
Afrika Mashariki yazidi kukumbwa na njaa  Audio Clip Available
Dunia yamkumbuka Mwalimu  Audio Clip Available
HRW yaishutumu DRC kutowajali raia wake
Obama apokea kwa mshangao na unyenyekevu tunzo ya amani  Audio Clip Available
Waathirika wa Mabomu 1998 Tanzania waandaa Kesi  Audio Clip Available