VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Rais Omar Bongo yuaga dunia

08/06/2009

Rais omar Bongo alifariki akiwa na umri wa miaka 73 baada ya kugua kwa muda katika zahanati moja huko Barcelona, Hispania, kutokana na kile serekali ya Gabon inaeleza ni "mshtuko mkubwa" kufuatia kifo cha mkewe mwezi March mwaka huu.
Gabon President Omar Bongo (2006 file photo)
Rais Omar Bongo wa Gabon

Kifo chake na ugonjwa wake hapo kabla zilizusha ripoti za kutatanisha, ambapo vyombo vya habari viliripoti awali kwamba amelazwa hospitali akiwa mahtut kutokana na ugonjwa wa saratani ya tenzi kibofu, serekali ikikanusha. Na shirika la habari la Ufaransa liliporipoti kifo chake Jumapili tarehe 7 June serekali ikakanusha. 

Rais Bongo alichukua madaraka 1967 akiwa wakati huo kiongozi kijana kabisa aktika bara la Afrika. Alichukua madaraka baada ya kifo cha rais Leon M'ba aliyefariki miaka 7 baada ya kuchukua madaraka kutoka ukoloni wa Ufransa. 

Wakati wote wa utawala wake alijaribu kua mpatanishi wa migogoro ya nchi mbali mbali ya afrika ikiwa ni pamoja na Jamhuri ya Afrika ya Kati, Burundi , Na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongol. Lakini Gabon ilikua nchi ya pili ya Afrika iliyotambua uhuru wa walotaka kujitenga huko Biafra nchini Nigeria. 

Kiongozi huyo wa muda mrefu, aliyesilimu mwaka 1973 na kubadilisha jina lake la Albert Bernad Bongo na kua Omar Bongo, alikubali mfumo wa vyama vingi mwaka 1990, lakini aliendelea kutumia utawala wa mabavu hadi kufariki kwake.

Yeye ni mmoja kati ya viongozi watatu wa Afrika wanaofanyiwa uchunguzi na jaji mmoja wa Ufaransa kwa mashtaka ya ulaji rushwa na utumiaji mbaya wa fedha za umaa. Shirika la kimataifa la kupambana na ulaji rushwa Tranparency International inadia zaidi ya nyumba na majengo ya familia ya Bongo huko Ufarnsa yanthamani ya zaidi ya dola milioni 200.


E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
Mapendekezo ya Katiba mpya Kenya kuchapishwa karibuni

  Mahojiano zaidi
Jenerali Kazini wa Uganda auawa na mpenzi wake
WHO: wanawake wabaguliwa kupata huduma za afya
Maharamia wa Somalia washambulia Meli Bahari ya Mbali
Miaka 20 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin
MDC yatoa siku 30 za suluhisho Zimbabwe
Ocampo ataomba uchunguzi kuhusu ghasia Kenya
Warepublican na Wademocratic watofautiana juu ya ushindi Marekani  Audio Clip Available
Wakimbizi wa Congo warudi nyumbani
Chanjo ya Malaria Yakaribia  Audio Clip Available
Operesheni "rudi nyumbani" Kenya yaingia dosari  Audio Clip Available
AU yajaribu kutanzua mzozo wa Madagascar
Wauaji wa Albino wahukumiwa vifo  Audio Clip Available
Kabila atafuta suluhisho kwa Zimbabwe
Makundi ya kutetea haki Zimbabwe yasusia mkutano wa serekali.
Viongozi wa AU waizungumzia mzozo wa Darfur
Habari kuu Kenya na Marekani wiki hii  Audio Clip Available
Marekani yaiwekea Sudan vikwazo
Msumbiji wapiga kura kwa amani
Burundi inawatia kizuzini mabalozi wake wawili  Audio Clip Available
Rais Mugabe na Tsvangirai washindwa kuelewana
Marekani inamnyima afisa wa juu Kenya visa  Audio Clip Available
Kampeni za uchaguzi mkuu Msumbiji za pamba moto
Mkataba mpya wa waliopoteza makazi Afrika
Kiongozi wa Mungiki aachiwa huru  Audio Clip Available
Afrika kusaini makubaliano kuwalinda wakimbizi
Al-Shabab wajaribu kumshambulia rais wa Somalia  Audio Clip Available
Guinea kupelelezwa kwa kukiuka Haki za Binadamu
Wakfu wa Mandela Wakanusha Madai
Jumuia ya kimataifa haiwasaidi IDP's wa Somalia
Kibaki awaahidi wakenya katiba mpya  Audio Clip Available
Hakuna anayestahili tuzo la Mo Ibrahim 2009
MDC yaacha kujihusisha na serikali ya Umoja ya Zimbabwe
Ghana yachukua kombe la Dunia chini ya miaka 20
Afrika Mashariki yazidi kukumbwa na njaa  Audio Clip Available
Dunia yamkumbuka Mwalimu  Audio Clip Available
HRW yaishutumu DRC kutowajali raia wake
Obama apokea kwa mshangao na unyenyekevu tunzo ya amani  Audio Clip Available
Waathirika wa Mabomu 1998 Tanzania waandaa Kesi  Audio Clip Available