VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Ghailani adai Mahakamani NY, "Sina Hatia"

09/06/2009

Maafisa wa wizara ya sheria ya Marekani wamemwasilishwa Mtanzania Ahmed Khalfan Ghailani mbele ya mahakama ya serekali kuu mjini New York na kufunguliwa mashtaka kwa kuhuiska kwake katika uripuaji wa mabomu kwenye ubalozi wa Marekani huko Kenya na Tanzania 1998. 

aptn pakistan al qaida Ahmed Khalfan Ghailani on FBI poster eng 150 2aug04.jpg
Ahmed Khalifa Ghailani mfungwa wa Guantanamo
Bw Ghailani alikamatwa nchini Pakistan mwaka 2004 na kuhamishwa na wafungwa wengine mwaka 2006 walotaja kua ni "wafungwa muhimu sana." 

Maafisa wa wizara ya sheria wamefikisha mashtaka 286 dhidi ya Bw Ghailani ikiwa ni pamoja na kupanga njama pamoja na Osama Bin Laden na wanachama wengine wa al-Qaida ili kuwauwa Wamarekani, pamoja na mashtaka binafsi ya mauwaji ya kila aliyefariki katika mashambuliyo hayo ya mabomu.

Bw Ghailani amedai mbele ya hakimu kwamba hana hatia kufatana na tuhuma hizo zote.

Bw Ghailani ni mfungwa wa kwanza wa Guantanamo kufikishwa mbele ya mahakama ya kiraia hapa Marekani. Kesi yake inatazamiwa kua mtihani wa kwanza muhimu kwa mpango wa Rais Barack Obama wa kulifunga gereza la Guantanamo mnamo miezi saba ijayo, na kuwafikisha wafungwa mahakamani.


E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
Mapendekezo ya Katiba mpya Kenya kuchapishwa karibuni

  Mahojiano zaidi
Jenerali Kazini wa Uganda auawa na mpenzi wake
WHO: wanawake wabaguliwa kupata huduma za afya
Maharamia wa Somalia washambulia Meli Bahari ya Mbali
Miaka 20 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin
MDC yatoa siku 30 za suluhisho Zimbabwe
Ocampo ataomba uchunguzi kuhusu ghasia Kenya
Warepublican na Wademocratic watofautiana juu ya ushindi Marekani  Audio Clip Available
Wakimbizi wa Congo warudi nyumbani
Chanjo ya Malaria Yakaribia  Audio Clip Available
Operesheni "rudi nyumbani" Kenya yaingia dosari  Audio Clip Available
AU yajaribu kutanzua mzozo wa Madagascar
Wauaji wa Albino wahukumiwa vifo  Audio Clip Available
Kabila atafuta suluhisho kwa Zimbabwe
Makundi ya kutetea haki Zimbabwe yasusia mkutano wa serekali.
Viongozi wa AU waizungumzia mzozo wa Darfur
Habari kuu Kenya na Marekani wiki hii  Audio Clip Available
Marekani yaiwekea Sudan vikwazo
Msumbiji wapiga kura kwa amani
Burundi inawatia kizuzini mabalozi wake wawili  Audio Clip Available
Rais Mugabe na Tsvangirai washindwa kuelewana
Marekani inamnyima afisa wa juu Kenya visa  Audio Clip Available
Kampeni za uchaguzi mkuu Msumbiji za pamba moto
Mkataba mpya wa waliopoteza makazi Afrika
Kiongozi wa Mungiki aachiwa huru  Audio Clip Available
Afrika kusaini makubaliano kuwalinda wakimbizi
Al-Shabab wajaribu kumshambulia rais wa Somalia  Audio Clip Available
Guinea kupelelezwa kwa kukiuka Haki za Binadamu
Wakfu wa Mandela Wakanusha Madai
Jumuia ya kimataifa haiwasaidi IDP's wa Somalia
Kibaki awaahidi wakenya katiba mpya  Audio Clip Available
Hakuna anayestahili tuzo la Mo Ibrahim 2009
MDC yaacha kujihusisha na serikali ya Umoja ya Zimbabwe
Ghana yachukua kombe la Dunia chini ya miaka 20
Afrika Mashariki yazidi kukumbwa na njaa  Audio Clip Available
Dunia yamkumbuka Mwalimu  Audio Clip Available
HRW yaishutumu DRC kutowajali raia wake
Obama apokea kwa mshangao na unyenyekevu tunzo ya amani  Audio Clip Available
Waathirika wa Mabomu 1998 Tanzania waandaa Kesi  Audio Clip Available