VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Rais Kikwete atangaza mpango wa kufufua uchumi

10/06/2009

Akiwahutubia wabunge na wazee huko bungeni Dodoma siku ya Jumatano, Rais Jakaya Kikwete alisema serekali itahakikisha kutoa mikopo kwa makampuni katika sekta za utali, kilimo na sekta nyenginezo, na kulipa fidia baadhi ya makampuni yaliyopatwa na hasara kubwa moja kwa moja.

prs_kikwete150
Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania
Kiongozi huyo wa Tanzania alikua anazungumza kabla ya kutangazwa bajeti ya taifa kwa mwaka 2008/09. Alisema serekali itazilipa benki zilizokopesha kampuni hizo moja kwa moja, lakini hawatoilipa madeni ya zamani yasiyohusiana na mzozo wa hivi sasa. 

Rais Kikwete alisema mpango wa pili ni kuhakikisha ratiba ya malipo madeni yanajadiliwa upya kwa makampuni yaliyo athirika hasa viwanda, utali na kilimo. 

Mhadhiri wa masuala ya kisiasa Bashir Ally ameiambia Sauti ya Amerika anasema inabidi kukubaliana kwamba mzozo huu wa uchumi unaoikumba Tanzania hautokani hasa na mzozo wa uchumi duniani bali pia kutokana na sera mbaya zinazotumiwa tangu miaka ya 1980 ya kurekebisha uchumi.

Anasema ana wasi wasi, ikiwa mpango wa kunusuru uchumi hauta angalia upya sera za nchi hiyo, basi hadhani wataweza kunusuru uchumi kwa mpango wa miaka miwili wakati uchumi umeathirika kwa miaka zaidi ya 20 iliyopita.


Download Kikwete alihutubia Taifa
Fungua  (MP3)
Listen to This Report Kikwete alihutubia Taifa
Sikiliza (MP3)
E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
Marekani na India kuimarisha ushirikiano wao

  Mahojiano zaidi
Rais Umaru Yar'Dua wa Nigeria, kwenda Saudi Arabia kwa matibabu
Suala la Ardhi EAC Lafafanuliwa  Audio Clip Available
CUF yafurahishwa na hotuba ya Karume  Audio Clip Available
Israel na Misri zatoa mwito wa amani
EAC yakubaliana juu ya soko la pamoja  Audio Clip Available
Hatari ya gesi katika Ziwa Kivu  Audio Clip Available
Kielelezo cha Katiba Kenya Kujadiliwa  Audio Clip Available
Marais Obama na Hu wajadili uchumi kati ya Marekani na China
Umoja wa Mataifa waahidi kuteketeza baa la njaa duniani  Audio Clip Available
Wanawake watoa wito wa mabadiliko Zanzibar  Audio Clip Available
Mafuriko yaongezeka Tanzania  Audio Clip Available
Chama cha Bemba DRC chaelekea kugawanyika
Mapendekezo ya Katiba mpya Kenya kuchapishwa karibuni
WHO: wanawake wabaguliwa kupata huduma za afya
Miaka 20 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin
Chanjo ya Malaria Yakaribia  Audio Clip Available