VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Bajeti za Afrika Mashariki


11/06/2009

Uganda,Kenya, tanzania
Afrika Mashariki
Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati ya Kenya, Tanzania, Uganda na Rwanda yametangaza bajeti za mwaka mpya wa fedha wa 2009-2010 zikiwa na ongezeko kubwa la matumizi kwa nchini zote. Bajeti ya Kenya imetangaza matumizi ya Sh. Billioni 867, ikiwa ni matumizi makubwa kuliko yote katika historia ya nchi hiyo. Sehemu kubwa ya fedha hizo zitatumiwa katika elimu, Ulinzi na Usalama na Ujenzi wa barabara. Nchini Tanzania, serikali imetangaza bajeti ya Sh. trillioni 9.5 na karibu asilimia 34 zikiwa za tegemezi. Kilimo kimepangiwa matumizi yenye ukuaji wa asilimia 30. Nchini Uganda serikali imetilia mkazo maswala ya elimu, kilimo na kuondoa baadhi ya ushuru wa forodha kwa bidhaa kutoka nchi jirani - ikiwa ni ishara ya kutaka kuongeza biashara kati ya nchi hiyo na nchi za jirani.

Viongozi wa upinzani Tanzania hawakupendezwa na kwamba sehemu kubwa ya bajet hiyo ni ya tegemezi, wakati huko nchini Kenya baadhi ya wananchi wanadhani bajeti haijalenga ipaswavyo kuwasaidia wananchi wa kawaida.


Download Bajeti za Afrika Mashariki
Fungua  (MP3)
Listen to This Report Bajeti za Afrika Mashariki
Sikiliza (MP3)
E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
Marekani na India kuimarisha ushirikiano wao

  Mahojiano zaidi
Rais Umaru Yar'Dua wa Nigeria, kwenda Saudi Arabia kwa matibabu
Suala la Ardhi EAC Lafafanuliwa  Audio Clip Available
CUF yafurahishwa na hotuba ya Karume  Audio Clip Available
Israel na Misri zatoa mwito wa amani
EAC yakubaliana juu ya soko la pamoja  Audio Clip Available
Hatari ya gesi katika Ziwa Kivu  Audio Clip Available
Kielelezo cha Katiba Kenya Kujadiliwa  Audio Clip Available
Marais Obama na Hu wajadili uchumi kati ya Marekani na China
Umoja wa Mataifa waahidi kuteketeza baa la njaa duniani  Audio Clip Available
Wanawake watoa wito wa mabadiliko Zanzibar  Audio Clip Available
Mafuriko yaongezeka Tanzania  Audio Clip Available
Chama cha Bemba DRC chaelekea kugawanyika
Mapendekezo ya Katiba mpya Kenya kuchapishwa karibuni
WHO: wanawake wabaguliwa kupata huduma za afya
Miaka 20 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin
Chanjo ya Malaria Yakaribia  Audio Clip Available