VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Ahmadinejad anapinga tuhuma za wizi wa kura

14/06/2009

Rais wa Iran Mahamoud Ahmadinejad anasuta tuhuma za wizi wa kura katika uchaguzi wa rais ijumaa iliyopita, akisema alishinda mhula wa pili kutokana na uchaguzi huru. 

Bw Ahmadinejad aliumnabia mkutano wawaandishi habari Jumapili kwamba kiwango chake cha ushindi katika uchaguzi huo wenye mabishano ni kikubwa kuweza kuwa na shaka yeyote. hapo baadae aliwashukuru maelfu wa wafuasi wake kwenye mkutano wa hadhara wa ushindi katika uwanja wa Vali Asr huko Teheran.

Matokeo rasmi yanaonesha kiongozi huyo wa kihafidhina amepata asili mia 63 za kura kulingana na asili mia 34 zakura alizopata mpinzani wake mpenda mageuzi Mir Hossein Mousavi.

Riot police in front of cloud of tear gas as supporters of Mir Hossein Mousavi clash with police in Tehran, 13 Jun 2009
Polisi mbele ya moishi mkubwa wakipambana na wapinzani Teheran
Bw Mousavi ameituhumu serekali kwa wizi wa kura na kupinga matokeo hayo. Wafuasi wake walianda kwa siku ya pili mkutano wa malalamiko mjini Teheran siku ya Jumapili, wakitia moto matairi barabarani na kupambana na polisi.



E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
Suala la Ardhi EAC Lafafanuliwa  Audio Clip Available

  Mahojiano zaidi
Rais Umaru Yar'Dua wa Nigeria, kwenda Saudi Arabia kwa matibabu
CUF yafurahishwa na hotuba ya Karume  Audio Clip Available
Israel na Misri zatoa mwito wa amani
EAC yakubaliana juu ya soko la pamoja  Audio Clip Available
Hatari ya gesi katika Ziwa Kivu  Audio Clip Available
Kielelezo cha Katiba Kenya Kujadiliwa  Audio Clip Available
Marais Obama na Hu wajadili uchumi kati ya Marekani na China
Umoja wa Mataifa waahidi kuteketeza baa la njaa duniani  Audio Clip Available
Wanawake watoa wito wa mabadiliko Zanzibar  Audio Clip Available
Mafuriko yaongezeka Tanzania  Audio Clip Available
Chama cha Bemba DRC chaelekea kugawanyika
Mapendekezo ya Katiba mpya Kenya kuchapishwa karibuni
WHO: wanawake wabaguliwa kupata huduma za afya
Miaka 20 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin
Chanjo ya Malaria Yakaribia  Audio Clip Available