VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Tume ya Uchaguzi Iran kuchunguza matokeo

16/06/2009

Baraza la Walinzi wa Mapinduzi la Iran limetangaza kwamba liko tayari kuhesabu upya kura za uchaguzi wa rais wenye utata mkubwa ambapo rais Mahamoud Ahmedinejad alitangazwa mshindi. 
Hundreds of thousands of Iranian supporters of defeated reformist presidential candidate Mir Hossein Mousavi demonstrate in Tehran, 15 Jun 2009
Maelfu na maelfu ya wa Iran wandamana Tehran kumuunga mkono Mir Hossein Mousavi 15 Juni 2009

Mgombea mashuhuri mpenda mageuzi Mir Hossein Mousavi anayepinga matokeo hayo, alikutana na wajumbe wa baraza hilo ili kujadili juu ya kuhesabiwa upya kura. Mgombea huyo wa upinzani alijadili na wajumbe wa baraza hilo ambalo ndilo linasimamia uchaguzi nchini humo, juu ya utaratibu wa kuhesabu upya kura kutokana na uchaguzi wa Ijumaa.

Tume ya uchaguzi ilidokeza mapema kwamba iko tayari kuhesabu upya kura zilizosababisha mabishano makubwa nchini humo, baada ya rais Ahmedinejad kutangazwa mshindi, kukiwepo na malalamiko ya wizi kutoka upinzani.

Akizungumza na televisheni ya taifa kiongozi wa baraza, Ayatollah Ahmed Jannati alisema, baraza lake liko tayari kuchunguza upya matokeo ya uchaguzi huo.




E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
AU ina wawekea vikwazo viongozi wa Madagascar

  Mahojiano zaidi
Ghasia za kidini zaibuka tena Nigeria
Jacob Zuma awasili Zimbabwe kutatua mzozo wa kisiasa
Wataalamu wa ukimwi eneo la IGAD wakutana Kenya  Audio Clip Available
Wabunge Kenya wamtaka Mudavadi ajiuzulu  Audio Clip Available
Wakimbizi wengi wa Sudan wamerudi nyumbani
Kenya na Congo zatajwa katika ripoti ya haki za binadamu  Audio Clip Available
Ukarabati wa barabara ya Uganda na Rwanda waanza
Tahadhari yatolewa kuhusu uchaguzi Sudan
Afisa wa Marekani aomba msamaha kwa Libya
Bill Gates Ashuka Daraja katika Utajiri
Wakazi laki tano kuhamishwa Uganda
Baadhi ya maeneo Burundi yakumbwa na njaa  Audio Clip Available
Matukio ya Upigaji majumbani yaongezeka Kenya
Wakenya Wataka majina 20 ICC yafichuliwe  Audio Clip Available
Uganda yaongoza EA katika orodha ya FIFA
Sarkozy Akiri Makosa ya Ufaransa
Ratiba ya Kombe la Afrika 2012 Yapangwa