VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Wanawake wabakwa jela Goma

23/06/2009

Umoja wa Mataifa unaripoti kwamba zaidi ya wanawake ishirini walibakwa na wafungwa wanaume katika gereza kuu la mji wa Goma, mji mkuu wa jimbo la Kivu ya Kaskazini Mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

Afisi ya Umoja wa Mataifa huko Congo MONUC, imeleza hakuna mfungwa aliyeweza kutoroka kutoka jela hiyo. Wanawake 20 walibakwa na kuteswa na wafungwa hao ambao ni wanajeshi waliokua wamekamatwa kwa utovu nidhamu. 

Hundreds of women demonstrate in central Brussels, Belgium, against women rape in the Democratic Republic of Congo, 26 Nov 2007
Mamia ya wanawake waandama Brussels dhidi ya ubakaji

 Akizungumza na sauti ya Amerika kutoka Goma, mtetezi wa haki za binadamu Bi Janine Bandu alisema alisikitika sana kuwaona wafungwa hao wa kike walivyoathirika. Alisema baada ya kubakwa na wafungwa wenzao, waliwekwa vyombo kwenye sehemu zao za uzazi na kupelekwa kwa matibabu katika hospitali za Goma.

Mtetezi huyo wa haki za binadamu anasema tatizo la ubakaji na manyanyaso dhdii ya wanawake limekuwa sugu, na kwamba mwanamke nchini Congo yumo katika hatari ya kubakwa wakati wowote ule. Bandu alikemea kitendo hicho kiovu na kuiomba serikali na wafadhili kutetea maslahi ya wanawake nchini humo.

Ripoti hiyo inaeleza kuwa afisa mmoja wa polisi aliuwawa pamoja na wafungwa watatu na walinzi wasiopungua tisa kuijeruhiwa baada ghasia hizo kuzuka katika gereza hilo.

Kwa mujibu wa taarifa rasmi gereza hilo lilikuwa na wafungwa 837 ambapo 512 ni askari na wanajeshi wanaozuiliwa kutokana na makosa mbali mbali.

Umoja wa Mataifa umewataka wafungwa waliohusika na ghasia hizo na vitendo hivyo viovu waadhibiwe vikali na wakuu wa nchi wafanye mageuzi katika magereza yao pamoja na kuwatenga kabisa wafungwa wa kiume na wale wa kike.


Download Wanawake wabakwa Goma
Fungua  (MP3)
Listen to This Report Wanawake wabakwa Goma
Sikiliza (MP3)
E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
Mapendekezo ya Katiba mpya Kenya kuchapishwa karibuni

  Mahojiano zaidi
Jenerali Kazini wa Uganda auawa na mpenzi wake
WHO: wanawake wabaguliwa kupata huduma za afya
Maharamia wa Somalia washambulia Meli Bahari ya Mbali
Miaka 20 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin
MDC yatoa siku 30 za suluhisho Zimbabwe
Ocampo ataomba uchunguzi kuhusu ghasia Kenya
Warepublican na Wademocratic watofautiana juu ya ushindi Marekani  Audio Clip Available
Wakimbizi wa Congo warudi nyumbani
Chanjo ya Malaria Yakaribia  Audio Clip Available
Operesheni "rudi nyumbani" Kenya yaingia dosari  Audio Clip Available
AU yajaribu kutanzua mzozo wa Madagascar
Wauaji wa Albino wahukumiwa vifo  Audio Clip Available
Kabila atafuta suluhisho kwa Zimbabwe
Makundi ya kutetea haki Zimbabwe yasusia mkutano wa serekali.
Viongozi wa AU waizungumzia mzozo wa Darfur
Habari kuu Kenya na Marekani wiki hii  Audio Clip Available
Marekani yaiwekea Sudan vikwazo
Msumbiji wapiga kura kwa amani
Burundi inawatia kizuzini mabalozi wake wawili  Audio Clip Available
Rais Mugabe na Tsvangirai washindwa kuelewana
Marekani inamnyima afisa wa juu Kenya visa  Audio Clip Available
Kampeni za uchaguzi mkuu Msumbiji za pamba moto
Mkataba mpya wa waliopoteza makazi Afrika
Kiongozi wa Mungiki aachiwa huru  Audio Clip Available
Afrika kusaini makubaliano kuwalinda wakimbizi
Al-Shabab wajaribu kumshambulia rais wa Somalia  Audio Clip Available
Guinea kupelelezwa kwa kukiuka Haki za Binadamu
Wakfu wa Mandela Wakanusha Madai
Jumuia ya kimataifa haiwasaidi IDP's wa Somalia
Kibaki awaahidi wakenya katiba mpya  Audio Clip Available
Hakuna anayestahili tuzo la Mo Ibrahim 2009
MDC yaacha kujihusisha na serikali ya Umoja ya Zimbabwe
Ghana yachukua kombe la Dunia chini ya miaka 20
Afrika Mashariki yazidi kukumbwa na njaa  Audio Clip Available
Dunia yamkumbuka Mwalimu  Audio Clip Available
HRW yaishutumu DRC kutowajali raia wake
Obama apokea kwa mshangao na unyenyekevu tunzo ya amani  Audio Clip Available
Waathirika wa Mabomu 1998 Tanzania waandaa Kesi  Audio Clip Available