VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Profesa Haroub Othman azikwa  Zanzibar

29/06/2009

Haroub Othman
Haroub Othman
Mhadhiri wa siku nyingi katika chuo kikuu cha Dar-es-salaam na mchambuzi wa masuala ya siasa Profesa Othman Haroub amezikwa leo huko Zanzibar. Mazishi ya Profesa Haroub yamehudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa serikali ya mapinduzi Zanzibar na Tanzania bara, viongozi wa dini, wanasiasa, wafanyabiashara na wanazuoni. Abdulshakur abood amezungumza na mwandishi wa habari Salim Said Salim kutoka Zanzibar ambaye alielezea mazishi ya mhadhiri huyo aliyefariki Jumamosi usiku nyumbani kwake Unguja akiwa na umri wa miaka 66. Alisema jopo la wanasheria Zanzibar walieleza wamempoteza mtu mahiri katika fani ya sheria kote visiwani na bara na mpigania haki za watu ndani na nje ya Tanzania. Profesa Haroub alikuwa mchangiaji mkubwa katika vipindi mbalimbali vya Sauti ya Amerika. 


Download Haroub Othman
Fungua  (MP3)
Listen to This Report Haroub Othman
Sikiliza (MP3)
E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
Jenerali Kazini wa Uganda auawa na mpenzi wake

  Mahojiano zaidi
WHO: wanawake wabaguliwa kupata huduma za afya
Maharamia wa Somalia washambulia Meli Bahari ya Mbali
Miaka 20 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin
MDC yatoa siku 30 za suluhisho Zimbabwe
Ocampo ataomba uchunguzi kuhusu ghasia Kenya
Warepublican na Wademocratic watofautiana juu ya ushindi Marekani  Audio Clip Available
Wakimbizi wa Congo warudi nyumbani
Chanjo ya Malaria Yakaribia  Audio Clip Available
Operesheni "rudi nyumbani" Kenya yaingia dosari  Audio Clip Available
AU yajaribu kutanzua mzozo wa Madagascar
Wauaji wa Albino wahukumiwa vifo  Audio Clip Available
Kabila atafuta suluhisho kwa Zimbabwe
Makundi ya kutetea haki Zimbabwe yasusia mkutano wa serekali.
Viongozi wa AU waizungumzia mzozo wa Darfur
Habari kuu Kenya na Marekani wiki hii  Audio Clip Available
Marekani yaiwekea Sudan vikwazo
Msumbiji wapiga kura kwa amani
Burundi inawatia kizuzini mabalozi wake wawili  Audio Clip Available
Rais Mugabe na Tsvangirai washindwa kuelewana
Marekani inamnyima afisa wa juu Kenya visa  Audio Clip Available
Kampeni za uchaguzi mkuu Msumbiji za pamba moto
Mkataba mpya wa waliopoteza makazi Afrika
Kiongozi wa Mungiki aachiwa huru  Audio Clip Available
Afrika kusaini makubaliano kuwalinda wakimbizi
Al-Shabab wajaribu kumshambulia rais wa Somalia  Audio Clip Available
Guinea kupelelezwa kwa kukiuka Haki za Binadamu
Wakfu wa Mandela Wakanusha Madai
Jumuia ya kimataifa haiwasaidi IDP's wa Somalia
Kibaki awaahidi wakenya katiba mpya  Audio Clip Available
Hakuna anayestahili tuzo la Mo Ibrahim 2009
MDC yaacha kujihusisha na serikali ya Umoja ya Zimbabwe
Ghana yachukua kombe la Dunia chini ya miaka 20
Afrika Mashariki yazidi kukumbwa na njaa  Audio Clip Available
Dunia yamkumbuka Mwalimu  Audio Clip Available
HRW yaishutumu DRC kutowajali raia wake
Obama apokea kwa mshangao na unyenyekevu tunzo ya amani  Audio Clip Available
Waathirika wa Mabomu 1998 Tanzania waandaa Kesi  Audio Clip Available