VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Kenya yadaiwa kukiuka haki za binadamu


29/06/2009

The UN Special Rapporteur on extrajudicial executions, Philip Alston, address a press conference in Nairobi, 25 Feb 2009
Profesa Phillip Alston akiwasilisha ripoti yake
Shirika la haki za binadamu la Human Rights Watch limeripoti kuwa majeshi ya Kenya ikiwa ni pamoja na idara ya Polisi yalihusika na ukiukaji wa haki za binadamu katika maeneo mbali mbali ya jimbo la kaskazini mashariki hasa katika eneo la Mandera na kwenye maeneo ya mpaka wa Kenya,Somalia na Ethiopia. Watu walioathirika zaidi na ukatili huo wa jeshi la Polisi ni raia wa Kenya wenye asili ya Kisomali zaidi ya watu 1200 walijeruhiwa vibaya sana na mtu mmoja kuuwawa. Pia wanawake wasiopungua 12 walibakwa na maafisa wa jeshi la Polisi. Kwa mujibu wa mkurugenzi mkuu wa shirika hili la haki za binadamu ukatili ulifanywa na Polisi wakishirikiana na jeshi la nchi kavu walipokuwa katika heka heka za kuwasaka majambazi wenye silaha pamoja na wanamgambo wa kisomali wanaovuka mpaka na kuingia nchini Kenya. Hii si mara ya kwanza kwa mashirika ya haki za binadamu nchini humo kulaumu serikali ya nchi hiyo kwa kuhusika na ukatili na kukiuka haki za binadamu. Miezi kadhaa iliyopita mshauri wa umoja wa mataifa kuhusu haki za binadamu Profesa Phillip Alston alitoa ripoti kali kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu nchini Kenya na akapendekeza kuondolewa madarakani kwa kamishna mkuu wa Polisi nchini Kenya Meja Jenerali Hussein Ali pamoja na mwanasheria mkuu wa nchi hiyo Bw. Amos Wacko.


Download Ukiukajihaki za Binadamu-Kenya
Fungua  (MP3)
Listen to This Report Ukiukajihaki za Binadamu-Kenya
Sikiliza (MP3)
E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
Mapendekezo ya Katiba mpya Kenya kuchapishwa karibuni

  Mahojiano zaidi
Jenerali Kazini wa Uganda auawa na mpenzi wake
WHO: wanawake wabaguliwa kupata huduma za afya
Maharamia wa Somalia washambulia Meli Bahari ya Mbali
Miaka 20 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin
MDC yatoa siku 30 za suluhisho Zimbabwe
Ocampo ataomba uchunguzi kuhusu ghasia Kenya
Warepublican na Wademocratic watofautiana juu ya ushindi Marekani  Audio Clip Available
Wakimbizi wa Congo warudi nyumbani
Chanjo ya Malaria Yakaribia  Audio Clip Available
Operesheni "rudi nyumbani" Kenya yaingia dosari  Audio Clip Available
AU yajaribu kutanzua mzozo wa Madagascar
Wauaji wa Albino wahukumiwa vifo  Audio Clip Available
Kabila atafuta suluhisho kwa Zimbabwe
Makundi ya kutetea haki Zimbabwe yasusia mkutano wa serekali.
Viongozi wa AU waizungumzia mzozo wa Darfur
Habari kuu Kenya na Marekani wiki hii  Audio Clip Available
Marekani yaiwekea Sudan vikwazo
Msumbiji wapiga kura kwa amani
Burundi inawatia kizuzini mabalozi wake wawili  Audio Clip Available
Rais Mugabe na Tsvangirai washindwa kuelewana
Marekani inamnyima afisa wa juu Kenya visa  Audio Clip Available
Kampeni za uchaguzi mkuu Msumbiji za pamba moto
Mkataba mpya wa waliopoteza makazi Afrika
Kiongozi wa Mungiki aachiwa huru  Audio Clip Available
Afrika kusaini makubaliano kuwalinda wakimbizi
Al-Shabab wajaribu kumshambulia rais wa Somalia  Audio Clip Available
Guinea kupelelezwa kwa kukiuka Haki za Binadamu
Wakfu wa Mandela Wakanusha Madai
Jumuia ya kimataifa haiwasaidi IDP's wa Somalia
Kibaki awaahidi wakenya katiba mpya  Audio Clip Available
Hakuna anayestahili tuzo la Mo Ibrahim 2009
MDC yaacha kujihusisha na serikali ya Umoja ya Zimbabwe
Ghana yachukua kombe la Dunia chini ya miaka 20
Afrika Mashariki yazidi kukumbwa na njaa  Audio Clip Available
Dunia yamkumbuka Mwalimu  Audio Clip Available
HRW yaishutumu DRC kutowajali raia wake
Obama apokea kwa mshangao na unyenyekevu tunzo ya amani  Audio Clip Available
Waathirika wa Mabomu 1998 Tanzania waandaa Kesi  Audio Clip Available