VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Ajali ya ndege Comoros

30/06/2009

Kiasi ya watu 152 wanahofiwa wamefariki kutokana na ajali ya ndege ya aina ya Airbus 310 ya shirika la ndege la Yemenia iliyoanguka kaskazini ya kisiwa cha Ngazija visiwani Comoros. 

Maafisa wa usfiri huko Comoros wanasema, ndege ilijaribu kutua kiasi ya saa tisa usiku lakini kutokana na upepo mkali na gurudumu moja la ndege kutoweza kushuka rubani alilazimika kuruka tena na hapo ndipo ajali ikatokea. 

Relative of passenger cries at Marseille airport, southern France, 30 Jun 2009
Jamaa za wathiriwa huko Marseille Ufransa June 30 2009
Mohamed Said Mchangama rais wa baraza la mameya wa Ngazija anasema hadi Jumanne usiku kulikua na hali ya mtafaruku kote nchini kwani kila mji kulikua na angalu mtu moja aliyekua abiria. Na hakuna aliyekua anajua kinachotendeka, hata hivyo ndege ya kijeshi ya Ufaransa ili kiwa na waokozi na madaktari imefika mchana wa leo na kuanza juhudi za kutafuta mili ya watu na mabaki ya ndege hiyo. 

Familia ya wathiriwa wameimabia sauti ya Marekani kwamba hawana habari zezote juu ya juhudi zinazoendelea isipokua nambari imetolewa kupiga kujua habari za jamaa zao, lakini imekua vigumu kabisa kupata habari zozote.


E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
Mapendekezo ya Katiba mpya Kenya kuchapishwa karibuni

  Mahojiano zaidi
Jenerali Kazini wa Uganda auawa na mpenzi wake
WHO: wanawake wabaguliwa kupata huduma za afya
Maharamia wa Somalia washambulia Meli Bahari ya Mbali
Miaka 20 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin
MDC yatoa siku 30 za suluhisho Zimbabwe
Ocampo ataomba uchunguzi kuhusu ghasia Kenya
Warepublican na Wademocratic watofautiana juu ya ushindi Marekani  Audio Clip Available
Wakimbizi wa Congo warudi nyumbani
Chanjo ya Malaria Yakaribia  Audio Clip Available
Operesheni "rudi nyumbani" Kenya yaingia dosari  Audio Clip Available
AU yajaribu kutanzua mzozo wa Madagascar
Wauaji wa Albino wahukumiwa vifo  Audio Clip Available
Kabila atafuta suluhisho kwa Zimbabwe
Makundi ya kutetea haki Zimbabwe yasusia mkutano wa serekali.
Viongozi wa AU waizungumzia mzozo wa Darfur
Habari kuu Kenya na Marekani wiki hii  Audio Clip Available
Marekani yaiwekea Sudan vikwazo
Msumbiji wapiga kura kwa amani
Burundi inawatia kizuzini mabalozi wake wawili  Audio Clip Available
Rais Mugabe na Tsvangirai washindwa kuelewana
Marekani inamnyima afisa wa juu Kenya visa  Audio Clip Available
Kampeni za uchaguzi mkuu Msumbiji za pamba moto
Mkataba mpya wa waliopoteza makazi Afrika
Kiongozi wa Mungiki aachiwa huru  Audio Clip Available
Afrika kusaini makubaliano kuwalinda wakimbizi
Al-Shabab wajaribu kumshambulia rais wa Somalia  Audio Clip Available
Guinea kupelelezwa kwa kukiuka Haki za Binadamu
Wakfu wa Mandela Wakanusha Madai
Jumuia ya kimataifa haiwasaidi IDP's wa Somalia
Kibaki awaahidi wakenya katiba mpya  Audio Clip Available
Hakuna anayestahili tuzo la Mo Ibrahim 2009
MDC yaacha kujihusisha na serikali ya Umoja ya Zimbabwe
Ghana yachukua kombe la Dunia chini ya miaka 20
Afrika Mashariki yazidi kukumbwa na njaa  Audio Clip Available
Dunia yamkumbuka Mwalimu  Audio Clip Available
HRW yaishutumu DRC kutowajali raia wake
Obama apokea kwa mshangao na unyenyekevu tunzo ya amani  Audio Clip Available
Waathirika wa Mabomu 1998 Tanzania waandaa Kesi  Audio Clip Available