VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Wadau wazungumzia bajeti Tanzania

12/06/2009

The Pike Place Market opened August 17, 1907.  Today, the market has 200 businesses, 190 craftspeople, 120 farmers and 240 street performers and musicians.
Biashara jijini Daressalaam
Bajeti ya mwaka 2009/2010 nchini Tanzania imepokelewa kwa mawazo tofauti nchini humo wakizungumza na sauti ya Amerika mwenyekiti wa sekta binafsi Ester Mkuzu anasema kuwa amefurahishwa na serikali kuongeza bajeti yake kwenye sekta ya kilimo, pia amefurahia elimu na miundo mbinu kupewa kipaumbele na mikakati ya serikali kwa ujumla nao baadhi ya wawakilishi wa wannachi wakiwemo wabunge na madiwani ambao ni Azan Zungu na Salim Mwaking'inda walisema taifa lolote linalotaka kupiga vita umasikini lazima liwekeze kwenye elimu na ndio maana serikali imeongeza bajeti ya elimu naye Bw.Mwakig'inda alisema nchi zote duniani zikitaka kumkomboa mtu mwenye kipato cha chini uhakikishe anapata chakula kwa bei nafuu,hata hivyo anasema kuna waliopinga hatua ya serikali kuondoa misamaha ya kodi katika baadhi ya maeneo katika mashirika ya dini na yasiyo ya kiserikali. 


E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
Marekani na India kuimarisha ushirikiano wao

  Mahojiano zaidi
Rais Umaru Yar'Dua wa Nigeria, kwenda Saudi Arabia kwa matibabu
Suala la Ardhi EAC Lafafanuliwa  Audio Clip Available
CUF yafurahishwa na hotuba ya Karume  Audio Clip Available
Israel na Misri zatoa mwito wa amani
EAC yakubaliana juu ya soko la pamoja  Audio Clip Available
Hatari ya gesi katika Ziwa Kivu  Audio Clip Available
Kielelezo cha Katiba Kenya Kujadiliwa  Audio Clip Available
Marais Obama na Hu wajadili uchumi kati ya Marekani na China
Umoja wa Mataifa waahidi kuteketeza baa la njaa duniani  Audio Clip Available
Wanawake watoa wito wa mabadiliko Zanzibar  Audio Clip Available
Mafuriko yaongezeka Tanzania  Audio Clip Available
Chama cha Bemba DRC chaelekea kugawanyika
Mapendekezo ya Katiba mpya Kenya kuchapishwa karibuni
WHO: wanawake wabaguliwa kupata huduma za afya
Miaka 20 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin
Chanjo ya Malaria Yakaribia  Audio Clip Available