VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Wadau wazungumzia bajeti Tanzania

12/06/2009

The Pike Place Market opened August 17, 1907.  Today, the market has 200 businesses, 190 craftspeople, 120 farmers and 240 street performers and musicians.
Biashara jijini Daressalaam
Bajeti ya mwaka 2009/2010 nchini Tanzania imepokelewa kwa mawazo tofauti nchini humo wakizungumza na sauti ya Amerika mwenyekiti wa sekta binafsi Ester Mkuzu anasema kuwa amefurahishwa na serikali kuongeza bajeti yake kwenye sekta ya kilimo, pia amefurahia elimu na miundo mbinu kupewa kipaumbele na mikakati ya serikali kwa ujumla nao baadhi ya wawakilishi wa wannachi wakiwemo wabunge na madiwani ambao ni Azan Zungu na Salim Mwaking'inda walisema taifa lolote linalotaka kupiga vita umasikini lazima liwekeze kwenye elimu na ndio maana serikali imeongeza bajeti ya elimu naye Bw.Mwakig'inda alisema nchi zote duniani zikitaka kumkomboa mtu mwenye kipato cha chini uhakikishe anapata chakula kwa bei nafuu,hata hivyo anasema kuna waliopinga hatua ya serikali kuondoa misamaha ya kodi katika baadhi ya maeneo katika mashirika ya dini na yasiyo ya kiserikali. 


E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
Mapendekezo ya Katiba mpya Kenya kuchapishwa karibuni

  Mahojiano zaidi
Jenerali Kazini wa Uganda auawa na mpenzi wake
WHO: wanawake wabaguliwa kupata huduma za afya
Maharamia wa Somalia washambulia Meli Bahari ya Mbali
Miaka 20 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin
MDC yatoa siku 30 za suluhisho Zimbabwe
Ocampo ataomba uchunguzi kuhusu ghasia Kenya
Warepublican na Wademocratic watofautiana juu ya ushindi Marekani  Audio Clip Available
Wakimbizi wa Congo warudi nyumbani
Chanjo ya Malaria Yakaribia  Audio Clip Available
Operesheni "rudi nyumbani" Kenya yaingia dosari  Audio Clip Available
AU yajaribu kutanzua mzozo wa Madagascar
Wauaji wa Albino wahukumiwa vifo  Audio Clip Available
Kabila atafuta suluhisho kwa Zimbabwe
Makundi ya kutetea haki Zimbabwe yasusia mkutano wa serekali.
Viongozi wa AU waizungumzia mzozo wa Darfur
Habari kuu Kenya na Marekani wiki hii  Audio Clip Available
Marekani yaiwekea Sudan vikwazo
Msumbiji wapiga kura kwa amani
Burundi inawatia kizuzini mabalozi wake wawili  Audio Clip Available
Rais Mugabe na Tsvangirai washindwa kuelewana
Marekani inamnyima afisa wa juu Kenya visa  Audio Clip Available
Kampeni za uchaguzi mkuu Msumbiji za pamba moto
Mkataba mpya wa waliopoteza makazi Afrika
Kiongozi wa Mungiki aachiwa huru  Audio Clip Available
Afrika kusaini makubaliano kuwalinda wakimbizi
Al-Shabab wajaribu kumshambulia rais wa Somalia  Audio Clip Available
Guinea kupelelezwa kwa kukiuka Haki za Binadamu
Wakfu wa Mandela Wakanusha Madai
Jumuia ya kimataifa haiwasaidi IDP's wa Somalia
Kibaki awaahidi wakenya katiba mpya  Audio Clip Available
Hakuna anayestahili tuzo la Mo Ibrahim 2009
MDC yaacha kujihusisha na serikali ya Umoja ya Zimbabwe
Ghana yachukua kombe la Dunia chini ya miaka 20
Afrika Mashariki yazidi kukumbwa na njaa  Audio Clip Available
Dunia yamkumbuka Mwalimu  Audio Clip Available
HRW yaishutumu DRC kutowajali raia wake
Obama apokea kwa mshangao na unyenyekevu tunzo ya amani  Audio Clip Available
Waathirika wa Mabomu 1998 Tanzania waandaa Kesi  Audio Clip Available