VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Mkutano wa viongozi wa AU wafunguliwa

01/07/2009

Rais wa Sudan, Omar Hassan al Bashir atakuwepo katika mkutano huo akikaidi hati ya mahakama ya kimataifa ya uhalifu, waziri mkuu wa Italy, Silivo Berlusconni na rais wa Brazil Lula da Silava pia wapo kwenye orodha ya wageni. Lakini pengine habari kubwa ni kwamba rais wa Misri, Hosni Mubarak huenda naye akajitokeza.

Kiongozi huyo wa misri mwenye umri wa miaka 81 hajawahi kuhudhuria mkutano wa viongozi wa Afrika tangu kuepuka jaribio la kuuawa katika mkutano wa umoja wa nchi huru za afrika mwaka 1995 huko Addis Abeba.

Sauti ya amerika imeshindwa kupata visa ya kuhudhuria mkutano huo, lakini wanadiplomasia na waandishi wa habari  walisema mkutano huo unafanyika katika hali ya sherehe. 

Mkutano wa mwisho wa umoja huo uliofanyika Feburary ulihudhiriwa na viongozi 21 na kumuona Muammar Gadhafi akiapishwa. Kuna wasi wasi kuhusu idadi ya watakaojitokeza  huenda isiwe kubwa. Lakini bwana Gadhafi anazungumzia  kuwasilisha pendekezo lake la kuundwa kwa Umoja wa Mataifa ya Afrika, wengi ambao waliodhaniwa hawatafika pengine huenda wakahudhuria. 

African Union special envoy to Darfur Salim Ahmed Salim attends a meeting of Sudan's neighboring countries in the Red Sea resort of Sharm el-Sheikh 04 Dec 2007
Salim Ahmed Salim Katibu Mkuu wa zamani wa OAU
Akizungumza na Sauti ya Amerika katibu mkuu wa zamani wa OAU Bw Salim Ahmed Salim, alisema mbali na masuala ya kujitegemea upande wa kilimo na Afrika kuweza kujilisha wenyewe na masuala ya kiuchumi, anamini suala kuu litakua Darfur na migogoro mingine ikiwa ni Somalia, DRC, Madagascar na kadhalika.

 
Waandishi wa habari huko Sirte wanasema IGAD kundi linalojumisha nchi za Pembe na Mashariki Afrika zitauomba mkutano kubadili jeshi dhaifu la Umoja wa Afrika – AMISOM na kuwa jeshi lenye nguvu.

IGAD inajumuisha nchi sita za afrika Mashariki ambazo zinasemekana kuangalia  maamuzi ya awali ya kwazuia majirani wa Somalia kupeleka wanajeshi katika kikosi cha amisom. Ethiopia na kenya zinapakana na Somalia na zimekuwa zikiombwa kuwa na jukumu kubwa kwa jirani yao Somalia.


Download Salim Ahmed Salim
Fungua  (MP3)
Listen to This Report Salim Ahmed Salim
Sikiliza (MP3)
E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
Mapendekezo ya Katiba mpya Kenya kuchapishwa karibuni

  Mahojiano zaidi
Jenerali Kazini wa Uganda auawa na mpenzi wake
WHO: wanawake wabaguliwa kupata huduma za afya
Maharamia wa Somalia washambulia Meli Bahari ya Mbali
Miaka 20 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin
MDC yatoa siku 30 za suluhisho Zimbabwe
Ocampo ataomba uchunguzi kuhusu ghasia Kenya
Warepublican na Wademocratic watofautiana juu ya ushindi Marekani  Audio Clip Available
Wakimbizi wa Congo warudi nyumbani
Chanjo ya Malaria Yakaribia  Audio Clip Available
Operesheni "rudi nyumbani" Kenya yaingia dosari  Audio Clip Available
AU yajaribu kutanzua mzozo wa Madagascar
Wauaji wa Albino wahukumiwa vifo  Audio Clip Available
Kabila atafuta suluhisho kwa Zimbabwe
Makundi ya kutetea haki Zimbabwe yasusia mkutano wa serekali.
Viongozi wa AU waizungumzia mzozo wa Darfur
Habari kuu Kenya na Marekani wiki hii  Audio Clip Available
Marekani yaiwekea Sudan vikwazo
Msumbiji wapiga kura kwa amani
Burundi inawatia kizuzini mabalozi wake wawili  Audio Clip Available
Rais Mugabe na Tsvangirai washindwa kuelewana
Marekani inamnyima afisa wa juu Kenya visa  Audio Clip Available
Kampeni za uchaguzi mkuu Msumbiji za pamba moto
Mkataba mpya wa waliopoteza makazi Afrika
Kiongozi wa Mungiki aachiwa huru  Audio Clip Available
Afrika kusaini makubaliano kuwalinda wakimbizi
Al-Shabab wajaribu kumshambulia rais wa Somalia  Audio Clip Available
Guinea kupelelezwa kwa kukiuka Haki za Binadamu
Wakfu wa Mandela Wakanusha Madai
Jumuia ya kimataifa haiwasaidi IDP's wa Somalia
Kibaki awaahidi wakenya katiba mpya  Audio Clip Available
Hakuna anayestahili tuzo la Mo Ibrahim 2009
MDC yaacha kujihusisha na serikali ya Umoja ya Zimbabwe
Ghana yachukua kombe la Dunia chini ya miaka 20
Afrika Mashariki yazidi kukumbwa na njaa  Audio Clip Available
Dunia yamkumbuka Mwalimu  Audio Clip Available
HRW yaishutumu DRC kutowajali raia wake
Obama apokea kwa mshangao na unyenyekevu tunzo ya amani  Audio Clip Available
Waathirika wa Mabomu 1998 Tanzania waandaa Kesi  Audio Clip Available