VOANews.com

Sauti ya Amerika ▪ SwahiliPata habari za kuaminika

 
Habari katika Lugha 45
Bakwata yapinga kutoundwa mahakama ya Ki-islam

02/07/2009

 

Kwa mujibu wa BAKWATA kikubwa wanachokitaa waislam ni kujumuisha sheria za kislam kwenye sheria za nchi.


Katika tamko lake juu ya kuundwa kwa mahakama ya kadhi lililotolewa bungeni, waziri wa sheria na katiba alisema tume iliyoundwa kushughulikia suala la kuwepo au kutokuwepo kwa mahakama ya kadhi imetaka kutafsiriwa baadhi ya sheria za kislam na kuzijumuisha katika sheria za nchi na sio kuundwa kwa mahakama ya ki-islamu.

Sheikh mkuu wa Tanzania Issa bin Shaban Simba, katika mkutano wake na waandishi wa habari jijini Dar-es-salaam Alhamisi terhe 2 Julai alisema, “waziri anasema amekutana na wataalam hatujui wataalam wale ni wataalam wa sheria za kislam au ni wataalam wa kawaida".


Aliendelea kusisitiza kwamba “isione kigegezi serikali kuanzisha mahakama ya kadhi nchi hii ina mahakama mengi, mahakama ya nyumba kuna mahakama ya kadhi kuna mahakama za bahari za sheria wala hatudai kwamba kuna siku waislam katika mahakama hizo watakata mkono mtu au wataua mtu kesi za jinai ni kesi za mahakama kuu ya serikali” .


Sheikh Shaban Simba anasema kwa upande wao cha muhimu ni kutaka kuhukumu masuala ya ndoa na mirathi mambo ambayo anasema yanapotoshwa kwa muda mrefu.

Sheikh mkuu alisema “waziri hakufafanua ni nani atasimamia nani tunalozungumza si sheria ya kislam kuwepo lakini nani msimamizi wa sheria hizo. Tumechoshwa waislam kupotoshwa mambo yetu”.

Kwa mantiki hiyo Sheikh mkuu wa Tanzania alisema baraza kuu la waislam wa Tanzania linapinga hatua hiyo.


 


Download Mahakama ya Ki-islam Tanzania
Fungua  (MP3)
Listen to This Report Mahakama ya Ki-islam Tanzania
Sikiliza (MP3)
E-mail This Article Mtumie rafiki makala
Print This Article Chapisha bila picha
  Makala mepya
Mapendekezo ya Katiba mpya Kenya kuchapishwa karibuni

  Mahojiano zaidi
Jenerali Kazini wa Uganda auawa na mpenzi wake
WHO: wanawake wabaguliwa kupata huduma za afya
Maharamia wa Somalia washambulia Meli Bahari ya Mbali
Miaka 20 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin
MDC yatoa siku 30 za suluhisho Zimbabwe
Ocampo ataomba uchunguzi kuhusu ghasia Kenya
Warepublican na Wademocratic watofautiana juu ya ushindi Marekani  Audio Clip Available
Wakimbizi wa Congo warudi nyumbani
Chanjo ya Malaria Yakaribia  Audio Clip Available
Operesheni "rudi nyumbani" Kenya yaingia dosari  Audio Clip Available
AU yajaribu kutanzua mzozo wa Madagascar
Wauaji wa Albino wahukumiwa vifo  Audio Clip Available
Kabila atafuta suluhisho kwa Zimbabwe
Makundi ya kutetea haki Zimbabwe yasusia mkutano wa serekali.
Viongozi wa AU waizungumzia mzozo wa Darfur
Habari kuu Kenya na Marekani wiki hii  Audio Clip Available
Marekani yaiwekea Sudan vikwazo
Msumbiji wapiga kura kwa amani
Burundi inawatia kizuzini mabalozi wake wawili  Audio Clip Available
Rais Mugabe na Tsvangirai washindwa kuelewana
Marekani inamnyima afisa wa juu Kenya visa  Audio Clip Available
Kampeni za uchaguzi mkuu Msumbiji za pamba moto
Mkataba mpya wa waliopoteza makazi Afrika
Kiongozi wa Mungiki aachiwa huru  Audio Clip Available
Afrika kusaini makubaliano kuwalinda wakimbizi
Al-Shabab wajaribu kumshambulia rais wa Somalia  Audio Clip Available
Guinea kupelelezwa kwa kukiuka Haki za Binadamu
Wakfu wa Mandela Wakanusha Madai
Jumuia ya kimataifa haiwasaidi IDP's wa Somalia
Kibaki awaahidi wakenya katiba mpya  Audio Clip Available
Hakuna anayestahili tuzo la Mo Ibrahim 2009
MDC yaacha kujihusisha na serikali ya Umoja ya Zimbabwe
Ghana yachukua kombe la Dunia chini ya miaka 20
Afrika Mashariki yazidi kukumbwa na njaa  Audio Clip Available
Dunia yamkumbuka Mwalimu  Audio Clip Available
HRW yaishutumu DRC kutowajali raia wake
Obama apokea kwa mshangao na unyenyekevu tunzo ya amani  Audio Clip Available
Waathirika wa Mabomu 1998 Tanzania waandaa Kesi  Audio Clip Available