blank

About VOA | Contact VOA News

Afrika RSS Feeds RSS Feed

Kampeni za uchaguzi za chama cha CUF Zanzibar
Picha AP

Ghasia za sababisha uharibifu mkubwa Zanzibar

Serikali ya Zanzibar imetowa wito kwa wananchi kuwa watulivu na hatua zinachukuliwa kudumisha amani baada ya ghasia mwishoni mwa wiki

Habari kamili
Pepe Ndombe akiimba katika bendi ya OK jazz

Pepe Ndombe afariki kutokana na mshtuko wa moyo

Mwanamuziki mashuhuri wa DRC Pepe Ndombe afariki Ijumaa Kinshasa akiwa na umri wa miaka 68

UNDP yazindua ripoti ya chakula Afrika

Ripoti hiyo imebeba dhima isemayo kuelekea kwenye mustakabali wenye uhakika wa chakula

Kamera maalumu za kufuatilia matukio mbali mbali mitaani

CCTV kuwekwa miji yote ya Kenya

Serikali ya Kenya imepokea msaada wa dola milioni 100 kutoka China ili kuimarisha ulinzi nchini humo

Rais wa Somalia Sheikh Sharif Sheik Ahmed aliyesimama  kati kati

Vyama vya kisiasa Somalia vyatia saini makubaliano

Rais wa Somalia Sheikh Sharif Ahmed asifu mwamko mpya wa umoja na ushirikiano wa makundi mbali mbali na koo nchini humo

Mamilioni wapiga kura katika uchaguzi wa rais Misri.

Kiasi cha Wamisri milioni 50 wanastahili kupiga kura

Wanamgambo wa kundi la Al-Shabab

Kampeni kali yazinduliwa dhidi ya Al-Shabab

Kundi la Al-Shabab lashambuliwa vikali kwenye vituo vyake inavyovidhibiti nje ya Mogadishu

Mtoto akipimwa na daktari katika zahanati ya kijiji cha Loro wilaya ya Oyam kaskazini ya Uganda.

Wanawake wa Uganda wadai haki za wajawazito

Wanaharakati wa kutetea haki za wamama wajawazito wanaitaka serikali iwajibike kwa kutotilia maanani afya yao

Mwanamke wa kisomali akipika chakula katika kambi moja ya wakimbizi waliokoseshwa makazi ndani ya nchi yao

Wasomali wajadili uthabiti wa nchi yao

Viongozi wa Somalia na wanasiasa nchini humo wakutana Ethiopia kabla ya siku 90 za serikali ya mpito kumaliza muda wake

Rais wa Mali ashambuliwa na waandamanaji

Waandamanaji walikwenda Ikulu Jumatatu na kumtaka rais mpito Traore kuacha madaraka.

Mkutano wa NATO Chicago

Rais Barack Obama asema mkakati wa hali ya baadaye Afghanistan ni sahihi na unaungwa mkono na jamii ya kimataifa

Abdel Baset al-Megrahi, mtu pekee aliyepatikana na hatia ya kulipua kwa bomu ndege ya Pan Am 1988 huko Lockerbie

Megrahi afariki kutokana na saratani

Mtu pekee aliyehukumiwa kwa kuhisika na kulipuliwa bomu ndani ya ndege juu ya Lockerbie amefariki baada ya kuugua saratani.

Obama ahimiza usalama wa chakula barani Afrika

Rais Obama anawahmiza viongozi wa mataifa tajiri G8 kuzingatia usalama wa chakula Afrika

Nchi za Kiarabu zataka suluhisho la haraka kwa mzozo wa Sudan

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir anasema Khartoum tayari inaunga mkono mashambulizi ya kijeshi katika nchi yake

Polisi wafunga mahala shambulio limetokea Mombasa

Mtu mmoja akamatwa kwa shambulizi la Mombasa

Lazima serikali iongeze idadi ya Polisi, vituo vya polisi na magari akiongeza hilo si ombi bali ni jukumu lao asema shekhe Door

Maoni

Jee Mapinduzi ya teknolojia ya habari ya Steve Jobs yamekuletea mabadiliko katika maisha yako?

Angalia matokeo »

Ajali ya meli Zanzibar

Mahojiano na Jaynet Kabila

Mjadala juu ya mustakbal wa Umoja wa Afrika

Athari za uharamia kwenye bahari ya Hindi