blank

About VOA | Contact VOA News

Afrika RSS Feeds RSS Feed

Picha AP

Rapper 50 cent asikitishwa na hali ya wakimbizi Somalia

Curtis Jackson (50 cent) atembelea wakimbizi Somalia na kenya .

Habari kamili

Hoteli ya Muna yashambuliwa kwa bomu huko Somalia.

Watu 9 wafariki dunia katika mlipuko wa bomu kwenye hoteli ya Muna Mogadishu.

Mgomo wa Madaktari wapamba moto Dar es salaam

Baada ya kutembea hatua chache, wanaharakati hao waliweka kambi katika eneo la Daraja la Selender na kufanya mzunguko wa magari kusimama

Milipuko miwili yatokea huko Kaduna Nigeria.

Daraja na kambi ya jeshi vyalipuliwa huko Kaduna Nigeria.

Waziri Mkuu wa Kenya Bw. Raila Odinga (File)

Kenya: Raila akabiliwa na changamoto ndani ya chama chake

Kwa mara ya kwanza Waziri Mkuu wa Kenya Bw, Raila Odinga, akabiliwa na upinzani mkali katika uwongozi wa chama chake cha ODM.

Ugandan President Yoweri Museveni waves to supporters as he arrives at a pre-election rally of ruling National Resistance Movement (NRM) party at Kololo airfield in Kampala, Uganda, February 21, 2006.

Mswada wa mashoga wawasilishwa tena bungeni Uganda

Kwenye kikao cha kwanza cha bunge mwaka huu, miongoni mwa masuala yaliyopewa kipau umbele ni mswada dhidi ya mashoga.

Hospitali ya Muhimbili yasitisha huduma

Hospitali ya kitaifa ya Muhimbili Tanzania yasitisha shughuli zake kufuatia mgomo wa madaktari

Ghasia zaanza tena kaskazini mwa Nigeria.

Kundi la Boko Haram linashukiwa kwa mashambulizi huko Kano na Maiduguri.

Ugandan women water seedlings at a small farm outside Lira, Uganda, March 2009. (file photo)

Uganda kuwaadhibu vikali wakeketaji wanawake

Wanaharakati wanaopinga ukeketaji wanalenga kuzishirikisha jamii kukomesha ukeketaji kupitia mazungumzo.

Watu 43 wafikishwa mahakamani kwa kuchochea ghasia Misri

Raia 19 wa Marekani na watu wengine 43 wafikishwa wafikishwa Mahakamani.

Madaktari waripoti matokeo mazuri ya majaribio ya saratani ya matiti katika hospitali ya John Hopkins mjini Baltimore, Marekani.

Umoja wa Mataifa unahimiza kupima mapema saratani ili kupunguza vifo

Ikiadhimisha siku ya saratani duniani Umoja wa Matiafa umetoa wito kwa watu kupimwa mapema ili kupunguza idadi ya vifo vinavyo ongezeka.

Watu watatu wafa katika ghasia nyingine Misri

Milio ya bunduki , gesi ya machozi, mawe yaliyorushwa kwa polisi vilitawala hewani na kote katika uwanja wa kihistoria wa Tahrir huko C

Marekani yalaani mashambulizi ya waasi huko Mali.

Marekani ina wasi wasi kuhusu kuendelea kwa ghasia katika miji ya kaskazini mwa Mali.

Waandamanaji mbele ya bunge la Misri kulaani ghasia za Port Said February 2, 2012.

Serikali yafukuza bodi ya shirikisho la kandanda Misri

Malefu ya Wamisri waandamana Cairo kulaani wakuu wa kijsehi na vikosi vya usalama kwa kutozuia ghasia zilizosababisha vifo 74 Port Said.

Bunge la EA lapitisha sheria ya mazingira

Wabunge wanapendekeza kuundwa kwa tume ambayo itakagua kazi zote za Serikali kuhusiana na miradi ya mazingira

Maoni

Jee Mapinduzi ya teknolojia ya habari ya Steve Jobs yamekuletea mabadiliko katika maisha yako?

Angalia matokeo »

Shambulio la Bomu Mogadishu

Ajali ya meli Zanzibar

Mahojiano na Jaynet Kabila

Mjadala juu ya mustakbal wa Umoja wa Afrika

Athari za uharamia kwenye bahari ya Hindi