Picha AP
Serikali ya Zanzibar imetowa wito kwa wananchi kuwa watulivu na hatua zinachukuliwa kudumisha amani baada ya ghasia mwishoni mwa wiki
Habari kamili
Mwanamuziki mashuhuri wa DRC Pepe Ndombe afariki Ijumaa Kinshasa akiwa na umri wa miaka 68
Ripoti hiyo imebeba dhima isemayo kuelekea kwenye mustakabali wenye uhakika wa chakula
Serikali ya Kenya imepokea msaada wa dola milioni 100 kutoka China ili kuimarisha ulinzi nchini humo
Rais wa Somalia Sheikh Sharif Ahmed asifu mwamko mpya wa umoja na ushirikiano wa makundi mbali mbali na koo nchini humo
Kiasi cha Wamisri milioni 50 wanastahili kupiga kura
Kundi la Al-Shabab lashambuliwa vikali kwenye vituo vyake inavyovidhibiti nje ya Mogadishu
Wanaharakati wa kutetea haki za wamama wajawazito wanaitaka serikali iwajibike kwa kutotilia maanani afya yao
Viongozi wa Somalia na wanasiasa nchini humo wakutana Ethiopia kabla ya siku 90 za serikali ya mpito kumaliza muda wake
Waandamanaji walikwenda Ikulu Jumatatu na kumtaka rais mpito Traore kuacha madaraka.
Rais Barack Obama asema mkakati wa hali ya baadaye Afghanistan ni sahihi na unaungwa mkono na jamii ya kimataifa
Mtu pekee aliyehukumiwa kwa kuhisika na kulipuliwa bomu ndani ya ndege juu ya Lockerbie amefariki baada ya kuugua saratani.
Rais Obama anawahmiza viongozi wa mataifa tajiri G8 kuzingatia usalama wa chakula Afrika
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir anasema Khartoum tayari inaunga mkono mashambulizi ya kijeshi katika nchi yake
Lazima serikali iongeze idadi ya Polisi, vituo vya polisi na magari akiongeza hilo si ombi bali ni jukumu lao asema shekhe Door