Picha Reuters
Wanaharakati wa kutetea haki za wamama wajawazito wanaitaka serikali iwajibike kwa kutotilia maanani afya yao
Habari kamili
Wataalamu wa afya wanasema kwamba, mafanikio zaidi yameanza kujitokeza kwa kina mama wajawazito na watoto waliochini ya umri wa miaka 5
Wanaume wanaotahiriwa kabla ya tendo la kwanza la ngono huenda wasipate saratani ya kibofu cha mkojo
Mgomo wa madaktari unaoendelea katika hospitali za umma nchini Tanzania umesababisha Rais Kikwete kuahirisha mkutano wake na wazee wa ji
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali imejipanga kukabiliana na mgomo mwingine wa madaktari
Serikali imewasitisha kazi maafisa wawili wa wizara ya afya, pale madaktari waliokuwa kwenye mgomo walianza kurudi kazini.
Hospitali ya kitaifa ya Muhimbili Tanzania yasitisha shughuli zake kufuatia mgomo wa madaktari
Ikiadhimisha siku ya saratani duniani Umoja wa Matiafa umetoa wito kwa watu kupimwa mapema ili kupunguza idadi ya vifo vinavyo ongezeka.