blank

About VOA | Contact VOA News

Siasa RSS Feeds RSS Feed

Picha AP

Kifaru cha jeshi la Syria.

Jenerali wa jeshi la Syria auawa

Mapigano makali yazuka katika mji mkuu Damascus, kati ya waasi wa Free Syrian Army na wanajeshi wa serikali.

Habari kamili

Rapper 50 cent asikitishwa na hali ya wakimbizi Somalia

Curtis Jackson (50 cent) atembelea wakimbizi Somalia na kenya .

Hoteli ya Muna yashambuliwa kwa bomu huko Somalia.

Watu 9 wafariki dunia katika mlipuko wa bomu kwenye hoteli ya Muna Mogadishu.

Mgomo wa Madaktari wapamba moto Dar es salaam

Baada ya kutembea hatua chache, wanaharakati hao waliweka kambi katika eneo la Daraja la Selender na kufanya mzunguko wa magari kusimama

Milipuko miwili yatokea huko Kaduna Nigeria.

Daraja na kambi ya jeshi vyalipuliwa huko Kaduna Nigeria.

Waziri Mkuu wa Kenya Bw. Raila Odinga (File)

Kenya: Raila akabiliwa na changamoto ndani ya chama chake

Kwa mara ya kwanza Waziri Mkuu wa Kenya Bw, Raila Odinga, akabiliwa na upinzani mkali katika uwongozi wa chama chake cha ODM.

Ugandan President Yoweri Museveni waves to supporters as he arrives at a pre-election rally of ruling National Resistance Movement (NRM) party at Kololo airfield in Kampala, Uganda, February 21, 2006.

Mswada wa mashoga wawasilishwa tena bungeni Uganda

Kwenye kikao cha kwanza cha bunge mwaka huu, miongoni mwa masuala yaliyopewa kipau umbele ni mswada dhidi ya mashoga.

Hospitali ya Muhimbili yasitisha huduma

Hospitali ya kitaifa ya Muhimbili Tanzania yasitisha shughuli zake kufuatia mgomo wa madaktari

Ghasia zaanza tena kaskazini mwa Nigeria.

Kundi la Boko Haram linashukiwa kwa mashambulizi huko Kano na Maiduguri.

Ugandan women water seedlings at a small farm outside Lira, Uganda, March 2009. (file photo)

Uganda kuwaadhibu vikali wakeketaji wanawake

Wanaharakati wanaopinga ukeketaji wanalenga kuzishirikisha jamii kukomesha ukeketaji kupitia mazungumzo.

Watu 43 wafikishwa mahakamani kwa kuchochea ghasia Misri

Raia 19 wa Marekani na watu wengine 43 wafikishwa wafikishwa Mahakamani.

Watu watatu wafa katika ghasia nyingine Misri

Milio ya bunduki , gesi ya machozi, mawe yaliyorushwa kwa polisi vilitawala hewani na kote katika uwanja wa kihistoria wa Tahrir huko C

Marekani yalaani mashambulizi ya waasi huko Mali.

Marekani ina wasi wasi kuhusu kuendelea kwa ghasia katika miji ya kaskazini mwa Mali.

Bunge la EA lapitisha sheria ya mazingira

Wabunge wanapendekeza kuundwa kwa tume ambayo itakagua kazi zote za Serikali kuhusiana na miradi ya mazingira

Members of a Senegalese anti-government youth movement Y En A Marre [We're Fed Up] chant slogans during a rally against President Abdoulaye Wade, in the capital Dakar, January 27, 2012.

Ban Ki-Moon aonya Senegal kuachana na ghasia

waandamanaji wataka rais wa nchi hiyo asigombee tena muhula mwingine.

VOA+Mitaani

Sikiliza matangazo

Alfajiri

Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Alfajiri - Habari 0300
Jioni - Habari 1630


VOA 60 - Africa

To view this site, you need to have Flash Player 9.0.115 or later installed. Click here to get the latest Flash player.


Makala Maalum

VOA Congo Story

Maoni

Jee Mapinduzi ya teknolojia ya habari ya Steve Jobs yamekuletea mabadiliko katika maisha yako?

Angalia matokeo »

Shambulio la Bomu Mogadishu

Ajali ya meli Zanzibar