About VOA | Contact VOA News
Kifaru cha jeshi la Syria.
Mapigano makali yazuka katika mji mkuu Damascus, kati ya waasi wa Free Syrian Army na wanajeshi wa serikali.
Curtis Jackson (50 cent) atembelea wakimbizi Somalia na kenya .
Watu 9 wafariki dunia katika mlipuko wa bomu kwenye hoteli ya Muna Mogadishu.
Baada ya kutembea hatua chache, wanaharakati hao waliweka kambi katika eneo la Daraja la Selender na kufanya mzunguko wa magari kusimama
Daraja na kambi ya jeshi vyalipuliwa huko Kaduna Nigeria.
Kwa mara ya kwanza Waziri Mkuu wa Kenya Bw, Raila Odinga, akabiliwa na upinzani mkali katika uwongozi wa chama chake cha ODM.
Kwenye kikao cha kwanza cha bunge mwaka huu, miongoni mwa masuala yaliyopewa kipau umbele ni mswada dhidi ya mashoga.
Hospitali ya kitaifa ya Muhimbili Tanzania yasitisha shughuli zake kufuatia mgomo wa madaktari
Kundi la Boko Haram linashukiwa kwa mashambulizi huko Kano na Maiduguri.
Wanaharakati wanaopinga ukeketaji wanalenga kuzishirikisha jamii kukomesha ukeketaji kupitia mazungumzo.
Raia 19 wa Marekani na watu wengine 43 wafikishwa wafikishwa Mahakamani.
Milio ya bunduki , gesi ya machozi, mawe yaliyorushwa kwa polisi vilitawala hewani na kote katika uwanja wa kihistoria wa Tahrir huko C
Marekani ina wasi wasi kuhusu kuendelea kwa ghasia katika miji ya kaskazini mwa Mali.
Wabunge wanapendekeza kuundwa kwa tume ambayo itakagua kazi zote za Serikali kuhusiana na miradi ya mazingira
waandamanaji wataka rais wa nchi hiyo asigombee tena muhula mwingine.
To view this site, you need to have Flash Player 9.0.115 or later installed. Click here to get the latest Flash player.
Shambulio la Bomu Mogadishu