Maafisa wa tasisi ya kimataifa ya kupambana na ukimwi kifua kikuu na malaria, wanakosoa ripoti juu ya matumizi mabaya ye fedha zake.
Maafisa wa afya wa Tanzania wanasema kuna haja ya kuimarisha juhudi za kupunguza uambukizaji HIV katika maeneo ya mashambani.
Waathiriwa wa HIV/Ukimwi nchini Burundi wanalalamika kwamba wanataabika kuweza kupata madawa, ingawa inatolewa bure.
Waathirwa wa HIV/ Ukimwi huko DRC wanasema haitoshi kupata madawa bila ya lishe bora na ushauri wa kisikolojia, kuweza kuwasiadia.
Viongozi wa serikali na mashirika ya kiraia Kenya wanasema idadi ya wanao ambukizwa na HIV imepunguka.
Watafiti watangaza dawa mpya inayoweza kuzuia uambukizaji virusi vya HIV kwa wanawake katika mkutano wa kimataifa wa ukimwi.
Rais wa zamani wa marekani, Bill Clinton ameyataka mashirika ya misaada kutumia vizuri fedha za huduma za ukimwi.