blank

About VOA | Contact VOA News

Makala Maalum - Michezo Habari mpya 5:19 UTC Ijumaa 09 Julai 2010

Afrika Kusini 2010

Fainali za Kombe la Dunia zinafanyika Afrika Kusini Juni 11 hadi Julai 11 ambapo mataifa 32 yanawania ubingwa wa soka wa dunia huku mashabiki wa soka duniani wakiwa na shauku kubwa juu ya nani atatwaa ubingwa huo. Fuatilia michuano hiyo kupitia idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika, VOA.

Uholanzi na Ujerumani kucheza fainali kombe la dunia

Mabingwa wa Ulaya Hispania kukwaana na Uholanzi kwenye fainali ya kombe la dunia.

Uswiss yaishangaza Spain 1-0

Uswiss imeshangaza fainali za Kombe la Dunia Jumatano kwa ushindi usiotazamiwa dhidi ya Spain.

Timu 3 za Afrika katika Kombe la Dunia 2010

Timu nyingine 3 za Afrika kwenye kombe la Dunia, Algeria, Ghana na Nigeria.

Timu za Afrika katika Kombe la Dunia 2010

Maelezo ya mataifa 6 ya Afrika katika Kombe la Dunia kuanzia June 11 huko Afrika Kusini.

Brazil yaanza kwa ushindi dhidi ya Korea Kaskazini

Brazil yaanza vizuri kwa kuishinda Korea Kaskazini 2-1.

Japan yaifunga Cameroon 1-0

Wawakilishi wengine wa Afrika katika fainali za kombe la dunia Cameroon wamepoteza mechi yao ya kwanza.

Afrika Kusini yatoka sare 1-1 na Mexico

Wenyeji Bafana Bafana wa Afrika Kusini watoka sare 1-1 na Mexico katika mechi ya ufunguzi ya Kombe la Dunia.

Afrika Kusini tayari kwa Kombe la Dunia

Ikiwa imebaki siku 7 tu kabla ya kuanza Kombe la Dunia, kwa mara ya kwanza barani Afrika, homa ya kandanda imeshapanda Afrika Kusini