Maafisa wa kura ya maoni Sudan Kusini wanasema asli mia 99 ya wananchi wameamuwa kujitenga kufwatana na matokeo ya awali
“Hii ndio demokrasia katika uhalisia wake, ambapo watu wanachagua ni nani awaongoze na ni vipi waongozwe” alisema Bw. Annan.
Wapiga kura wa Sudan Kusini wajitokeza kwa maelfu kupiga kura ya kihistoria kuamua juu ya mustakbal wa eneo la kusini la Sudan.
Pande zote bado hazijakubaliana juu ya namna ya kugawana mapato ya mafuta
Taasisi ya kutetea haki za mazingira Global Witness inaeleza kwamba uwazi zaidi unahitajika katika mapato ya mafuta ya
Sudan.
Wananchi wa Sudan Kusini watapiga kura Jumapili kuamua kama wanataka kuwa taifa huru au la.
Nini kimepelekea hadi Sudan Kusini inapiga kura ya maoni Januari 9?
Rais Bashir wa Sudan asema yupo tayari kuisaidia Sudan
kusini kama itaamua kujitenga.
ugawaji wa masanduku ya kura karibu unakamilika na upigaji kura utaendelea
Rais Bashir wa Sudan anatazamiwa kutembelea kusini ya nchi yake kabla ya kura ya maoni ya Januari 9. Tarehe ya ziara haijulikana bado.
Rais wa Sudan Omar al-Bashir asema nchi yake itajitoa kwenye mazungumzo ya amani ya Doha kama hakuna maafikiano ya mkataba na waasi
George Clooney ashirikiana na Google kwa uangalizi makini wa Sudan
Umoja wa mataifa una wasiwasi na kushtushwa na mapiganoi yanayozuka katika jimbo la Abyei, wakati kura ya maoni inaendelea.
Waandaaji wa kura ya maoni huko Sudan Kusini wanasema wapiga kura waliojitokeza wanafika asilimia 60.