blank

About VOA | Contact VOA News

Marekani RSS Feeds RSS Feed

Hospitali ya Muhimbili yasitisha huduma

Hospitali ya kitaifa ya Muhimbili Tanzania yasitisha shughuli zake kufuatia mgomo wa madaktari

Viongozi wa AU washindwa kumchagua mwenyekiti mpya

Rais Boni Yayi wa Benin amechaguliwa rais mpya wa Umoja wa Afrika, lakini viongozi wameshindwa kumchagua mwenyekiti wa kamisheni kuu

AU yafungua mkutano Addis Ababa

Viongozi wa AU wanakutana kwa siku mbili Addis Ababa ambapo watazungumzia mzozo wa Somalia, Sudan na Sudan Kusini

Marekani yakosoa Pakistan kwa kumkamata daktari

Dr. Shikal Afridi aliyesaidia majeshi ya Marekani kumnasa gaidi Osama Bin Laden akamatwa na kushtakiwa kwa kosa la uhaini Pakistan

Obama asema hali ya taifa ni nzuri

Rais Obama asema katika hotuba yake ya hali ya taifa bungeni kuwa hali ya taifa chini ya utawala wake ni nzuri

Upinzani DRC waongoza viti vya bunge

Matokeo ya awali ya uchaguzi wa bunge DRC yanaonesha upinzani umejizolea viti vingi

Obama atoa hotuba ya hali ya kitaifa ya mwaka 2012.

Rais Obama asema mpango wake wa uchumi umejengwa kuwa wa kudumu.

Shambulizi kaskazini mashariki mwa Kenya lauwa watu

Afisa wa uhamiaji, raia na maafisa wa polisi ni miongoni mwa watu waliouawa .

Romney ashinda New Hampshire

Mitty Romney amepata ushindi mkubwa na kumuweka katika nafasi nzuri ya kuweza kukabiliana na Obama mwezi Novemba

ANC yasherehekea miaka 100 Afrika Kusini

Rais Jacob Zuma aongoza sherehe za kuadhimisha miaka mia moja ya chama tawala ANC

Kenya yauwa wanamgambo Somalia

Zaidi ya wanamgambo 60 wa al-Shabab wauwa na majeshi ya Kenya nchini Somalia Ijumaa

Ugonjwa wa kusinzia Uganda

Hali ya wasiwasi imezuka nchini uganda kufuatia ugonjwa wa kusinzia(nodding Disease) unaouwa watoto wadogo

Wagombea Mitt Romney  na Rick Santorum wa chama cha Repuclican

Mitt Romney ashinda uchaguzi wa kwanza wa Iowa

Mgombea wa kiti cha rais wa chama cha Republican Romney aliweza kupata ushindi kwa tofauti ya kura 8 katika uchaguzi wa awali huko Iowa

Hali yazidi kuwa tete Syria

Hali nchini Syria yaripotiwa kuzorota huku mauaji ya wapinzani wa serikali yakiendelea siku baada ya siku

Maandamano nchini Russia

Maandamano makubwa yamefanyika mjini Moscow russia kupinga kile upinzani unasema ni wizi wa kura katika uchaguzi wa bunge

Waziri wa ulinzi wa Marekani awasili Libya

Waziri wa ulinzi wa Marekani Leone Paneta pia atapata nafasi ya kutoa heshima kwa waliosaidia kumuondoa Ghadafi

Ocampo:Kifo cha Gadhafi kina mashaka

ICC inasema mazingira yaliyopelekea kifo cha kiongozi wa zamani nchini Libya, Moammar Gadhafi yanatia mashaka

Marekani yaondoka rasmi Iraq

Marekani yakamilisha kumalizika kwa kazi zake nchini Iraq kwa sherehe zilizohudhuriwa na Waziri wa ulinzi wa Marekani huko Baghdad

ICC yaishutumu Malawi kutomkamata Bashir

Serikali ya Malawi inakosolewa na mahakama ya ICC kwa kushindwa kumkamata Rais wa Sudan al-Bashir ambaye anashtakiwa kwa uhalifu wa vita

Rais Kabila asema ushindi wake halali

Rais Kabila wa DRC amewaambia waandishi wa habari mjni Kinshasa kuwa amechaguliwa kihalali


Habari zaidi

Maoni

Jee Mapinduzi ya teknolojia ya habari ya Steve Jobs yamekuletea mabadiliko katika maisha yako?

Angalia matokeo »

Steve Jobs: 1955 - 2011