Hospitali ya kitaifa ya Muhimbili Tanzania yasitisha shughuli zake kufuatia mgomo wa madaktari
Rais Boni Yayi wa Benin amechaguliwa rais mpya wa Umoja wa Afrika, lakini viongozi wameshindwa kumchagua mwenyekiti wa kamisheni kuu
Viongozi wa AU wanakutana kwa siku mbili Addis Ababa ambapo watazungumzia mzozo wa Somalia, Sudan na Sudan Kusini
Dr. Shikal Afridi aliyesaidia majeshi ya Marekani kumnasa gaidi Osama Bin Laden akamatwa na kushtakiwa kwa kosa la uhaini Pakistan
Rais Obama asema katika hotuba yake ya hali ya taifa bungeni kuwa hali ya taifa chini ya utawala wake ni nzuri
Matokeo ya awali ya uchaguzi wa bunge DRC yanaonesha upinzani umejizolea viti vingi
Rais Obama asema mpango wake wa uchumi umejengwa kuwa wa kudumu.
Afisa wa uhamiaji, raia na maafisa wa polisi ni miongoni mwa watu waliouawa .
Mitty Romney amepata ushindi mkubwa na kumuweka katika nafasi nzuri ya kuweza kukabiliana na Obama mwezi Novemba
Rais Jacob Zuma aongoza sherehe za kuadhimisha miaka mia moja ya chama tawala ANC
Zaidi ya wanamgambo 60 wa al-Shabab wauwa na majeshi ya Kenya nchini Somalia Ijumaa
Hali ya wasiwasi imezuka nchini uganda kufuatia ugonjwa wa kusinzia(nodding Disease) unaouwa watoto wadogo
Mgombea wa kiti cha rais wa chama cha Republican Romney aliweza kupata ushindi kwa tofauti ya kura 8 katika uchaguzi wa awali huko Iowa
Hali nchini Syria yaripotiwa kuzorota huku mauaji ya wapinzani wa serikali yakiendelea siku baada ya siku
Maandamano makubwa yamefanyika mjini Moscow russia kupinga kile upinzani unasema ni wizi wa kura katika uchaguzi wa bunge
Waziri wa ulinzi wa Marekani Leone Paneta pia atapata nafasi ya kutoa heshima kwa waliosaidia kumuondoa Ghadafi
ICC inasema mazingira yaliyopelekea kifo cha kiongozi wa zamani nchini Libya, Moammar Gadhafi yanatia mashaka
Marekani yakamilisha kumalizika kwa kazi zake nchini Iraq kwa sherehe zilizohudhuriwa na Waziri wa ulinzi wa Marekani huko Baghdad
Serikali ya Malawi inakosolewa na mahakama ya ICC kwa kushindwa kumkamata Rais wa Sudan al-Bashir ambaye anashtakiwa kwa uhalifu wa vita
Rais Kabila wa DRC amewaambia waandishi wa habari mjni Kinshasa kuwa amechaguliwa kihalali