blank

About VOA | Contact VOA News

Marekani RSS Feeds RSS Feed

Kamera maalumu za kufuatilia matukio mbali mbali mitaani

CCTV kuwekwa miji yote ya Kenya

Serikali ya Kenya imepokea msaada wa dola milioni 100 kutoka China ili kuimarisha ulinzi nchini humo

Rais wa Somalia Sheikh Sharif Sheik Ahmed aliyesimama  kati kati

Vyama vya kisiasa Somalia vyatia saini makubaliano

Rais wa Somalia Sheikh Sharif Ahmed asifu mwamko mpya wa umoja na ushirikiano wa makundi mbali mbali na koo nchini humo

Wanamgambo wa kundi la Al-Shabab

Kampeni kali yazinduliwa dhidi ya Al-Shabab

Kundi la Al-Shabab lashambuliwa vikali kwenye vituo vyake inavyovidhibiti nje ya Mogadishu

Mwanamke wa kisomali akipika chakula katika kambi moja ya wakimbizi waliokoseshwa makazi ndani ya nchi yao

Wasomali wajadili uthabiti wa nchi yao

Viongozi wa Somalia na wanasiasa nchini humo wakutana Ethiopia kabla ya siku 90 za serikali ya mpito kumaliza muda wake

Mkutano wa NATO Chicago

Rais Barack Obama asema mkakati wa hali ya baadaye Afghanistan ni sahihi na unaungwa mkono na jamii ya kimataifa

Obama ahimiza usalama wa chakula barani Afrika

Rais Obama anawahmiza viongozi wa mataifa tajiri G8 kuzingatia usalama wa chakula Afrika

Mwimbaji Donna Summer akiimba katika tamasha la Nobel Peace Prize Oslo, Ijuma , Dec. 11, 2009.

Donna Summer afariki kutokana na saratani

Gwiji la musiki wa Disco, amefariki akiwa na umri wa miaka 73 baada ya kuugua ugonjwa wa saratani ya mapafu.

Nchi za Kiarabu zataka suluhisho la haraka kwa mzozo wa Sudan

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir anasema Khartoum tayari inaunga mkono mashambulizi ya kijeshi katika nchi yake

Ripoti ya Umoja wa mataifa juu ya maendeleo ya binadamu Afrika

Ripoti ya maendeleo ya binadamu Afrika

Hii ni ripoti ya kwanza barani Afrika kutolewa juu ya maendeleo ya binadamu 2012

Jenerali Bosco Ntaganda

ICC yatafuta waranti kumkamata Ntaganda

ICC pia inataka kukamatwa kwa mbabe wa pili wa kivita Sylvestre Mudacumura

Caesar Achellam, kamanda wa cheo cha juu wa kundi la LRA

Kamanda wa kundi la uasi la LRA akamatwa

Mapambano makali kati ya majeshi ya serikali na uasi yamepelekea kukamatwa kwa Caesar

Mashambulizi ya maafa makubwa Syria

Mashambulizi pacha yauwa zaidi ya watu 55 na kujeruhi 370 katika mji mkuu wa Syria, Damascus

Maafisa wa Marekani wazuia njama za Alqaeda

Tawi la alqaeda Yemen lilidhamiria kumweka mlipua mabomu huyo kwenye ndege.

Rais wa zamani wa Mali Amadou Toumani Toure

Mapigano yaendelea Bamako

Majeshi yanayomuunga mkono rais aliyepinduliwa Amadou Toumani Ture wapigana vikali na wanajeshi waasi

Dunia yaadhimisha siku ya wafanyakazi

Wito wa nyongeza ya mishahara, mfumuko wa bei na mazingira bora ya kazi ni moja ya malalamiko yanayoelezwa na kila mfanyakazi duniani ka

White house yajibu ukosoaji kuhusu kuuwawa Bin Laden

Obama asema kuna wengine wamebadili misimamo yao juu ya jambo hilo.

Shambulizi la gruneti lauwa Nairobi

Mlipuko huo umetokea katika kanisa la God's House of Miracle International Church mapema wakati wa misa ya asubuhi

Mapigano yasababisha wimbi la wakimbizi DRC

Wakazi katika maeneo yaliyokumbwa na vita uhama nyumba zao wakati wa usiku na kuelekea maeneo jirani yaliyo salama

Raia wa Malaysia waandamana

Watu elfu 25 wakusanyika katika Uwanja wa Independence Square ,Kuala Lumpur kudai mabadiliko ya utawala

Rais Barack Obama akitoa ujumbe wake wa wiki.

Obama awataka viongozi wa Sudan na Sudan Kusini kuepuka vita

Rais Obama ametoa wito kwa serikali na wananchi wa Sudan na Sudan Kusini kuepusha hali ya kurudi katika vita.


Habari zaidi

Maoni

Jee Mapinduzi ya teknolojia ya habari ya Steve Jobs yamekuletea mabadiliko katika maisha yako?

Angalia matokeo »

Steve Jobs: 1955 - 2011