blank

About VOA | Contact VOA News

Wanawake

Mwanaharakati wa mazingira Wangari Maathai aagwa rasmi

Bi. Maathai alikuwa mwanamke wa kwanza afrika kupata tuzo ya nobel ya amani

Washindi wa Tunzo ya amani ya Nobel 2011

Wanawake watatu wapewa Tunzo ya Amani ya Nobel

Tunzo mashuhuri ya amani ya Nobel kwa mwaka 2011, imetolewa kwa wanawake watatu kwa juhudi zao za kutetea haki za wanawake na amani

Lagarde wa Ufaransa, Mkuu mpya wa IMF

Mpaka uteuzi wake huu mpya Christine Lagarde alikuwa Waziri wa Fedha wa Ufaransa, anachukua nafasi iliyoachwa na Strauss-Kahn

Janet Kabila, rais wa wakfu ya Mzee Laurent Kabila

Jaynet Kabila atowa msaada kwa waathiriwa wa vita na ubakaji DRC

Maendeleo makubwa yamepatikana katika kuleta demokrasia nchini DRC lakini kuna kazi nyingi iliyobaki amesema Jaynet Kabila

Utafiti wazuia Truvada kwa wanawake wenye HIV

Watafiti wa madawa yanayozuia kasi ya maambukizo ya HIV wazuia jaribio la kidonge cha Truvada kwa wanawake wenye HIV.

UN yapendekeza fidia kwa waathiriwa wa DRC

Jopo la ngazi ya juu linalotetea waathirika wa ubakaji huko DRC lapendekeza kuwepo na fidia kwa waathirika.

Zaidi ya watu 300 walibakwa August DRC

Ripoti ya awali kuhusu tukio la ubakaji DRC mwezi August inasema zaidi ya watu 300 walibakwa katika muda wa siku nne.

Umoja wa Mataifa wasema wabakaji DRC watashitakiwa

Umoja wa Mataifa wasema watu waliofanya ubakaji DRC watasakwa na kufikishwa mahakamani.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon

Ban Ki-moon alaani ubakaji Kivu Kaskazini

Umoja wa Mataifa umelaani vikali ubakaji na shambulizi dhidi ya watu 154 lililofanywa na waasi huko Kivu ya Kaskazini

Amnesty inaripoti kuongezeka kwa ubakaji katika vitongoji Kenya

Amnesty yasema wanawake wanaoishi katika maeneo maskini nchini kenya wanakabiliwa na khofu ya kubakwa.

International Criminal Court (ICC) prosecutor Luis Moreno-Ocampo gives a press conference, 01 Apr 2010, in The Hague on a probe the ICC will carry out into crimes against humanity allegedly committed in the violent aftermath of Kenya's December 2007 presi

Maathai ataka wakenya waunge mkono ICC

Mshindi wa Tuzo ya Nobel, Wangari Maathai anawasihi viongozi wa jumuia za kiraia nchini Kenya kuunga mkono uchunguzi wa ICC.

VOA+Mitaani

Sikiliza matangazo

Alfajiri

Matangazo ya nusu saa kuhusu habari za mapema asubuhi pamoja na habari za michezo.
Alfajiri - Habari 0300
Jioni - Habari 1630


VOA 60 - Africa

To view this site, you need to have Flash Player 9.0.115 or later installed. Click here to get the latest Flash player.


Makala Maalum

VOA Congo Story

Steve Jobs: 1955 - 2011

Maoni

Jee Mapinduzi ya teknolojia ya habari ya Steve Jobs yamekuletea mabadiliko katika maisha yako?

Angalia matokeo »

Shambulio la Bomu Mogadishu

Ajali ya meli Zanzibar