About VOA | Contact VOA News
Bi. Maathai alikuwa mwanamke wa kwanza afrika kupata tuzo ya nobel ya amani
Tunzo mashuhuri ya amani ya Nobel kwa mwaka 2011, imetolewa kwa wanawake watatu kwa juhudi zao za kutetea haki za wanawake na amani
Mpaka uteuzi wake huu mpya Christine Lagarde alikuwa Waziri wa Fedha wa Ufaransa, anachukua nafasi iliyoachwa na Strauss-Kahn
Maendeleo makubwa yamepatikana katika kuleta demokrasia nchini DRC lakini kuna kazi nyingi iliyobaki amesema Jaynet Kabila
Watafiti wa madawa yanayozuia kasi ya maambukizo ya HIV wazuia jaribio la kidonge cha Truvada kwa wanawake wenye HIV.
Jopo la ngazi ya juu linalotetea waathirika wa ubakaji huko DRC lapendekeza kuwepo na fidia kwa waathirika.
Ripoti ya awali kuhusu tukio la ubakaji DRC mwezi August inasema zaidi ya watu 300 walibakwa katika muda wa siku nne.
Umoja wa Mataifa wasema watu waliofanya ubakaji DRC watasakwa na kufikishwa mahakamani.
Umoja wa Mataifa umelaani vikali ubakaji na shambulizi dhidi ya watu 154 lililofanywa na waasi huko Kivu ya Kaskazini
Amnesty yasema wanawake wanaoishi katika maeneo maskini nchini kenya wanakabiliwa na khofu ya kubakwa.
Mshindi wa Tuzo ya Nobel, Wangari Maathai anawasihi viongozi wa jumuia za kiraia nchini Kenya kuunga mkono uchunguzi wa ICC.
To view this site, you need to have Flash Player 9.0.115 or later installed. Click here to get the latest Flash player.
Baadhi ya vyombo alivyotengeneza Steve Jobs
Shambulio la Bomu Mogadishu