Vikosi vya usalama Misri vya pambana na wafuasi wa Morsi
Vyombo vya habari Misri vinaripoti kuwepo na idadi kubwa ya majeruhi mjini Cairo baada ya vikosi vya usalama kushambulia maeneo mawili walokusanyika wafuasi wa rais aliyepinduliwa Mohamed Morsi.
Vikosi vya usalama Misri vya pambana na wafuasi wa Morsi