Accessibility links
Skip to main content
Skip to main Navigation
Skip to Search
Home
United States
U.S. News
All About America
Silicon Valley & Technology
Immigration
World
Africa
The Americas
East Asia
Europe
Middle East
South & Central Asia
Ukraine
Press Freedom
China
Iran
Broadcast Programs
Follow Us
Languages
Search
Search
Previous
Next
Breaking News
Ghasia za kisiasa Sudan Kusini
December 18, 2013 4:21 PM
update
December 23, 2013 0:23 AM
Mapigano Sudan Kusini yameenea zaidi ya mji mkuu Juba, ambako yalianza Jumapili katika kile serikali ilichosema ni jaribio la mapinduzi. Mataifa jirani ya IGAD yanafanya juhudi za usuluhishi wa amani.
9
Raia wakiwasili katika eneo la ofisi za UNMISS karibu na uwanja wa ndege wa Juba, Dec. 17, 2013. (UNMISS)
10
Mwanajeshi wa Umoja wa Mataifa akisimama doria huku raia wakiwasili katika eneo la ofisi za UNMISS, Dec. 17, 2013. (UNMISS)
11
Raia zaidi wakiwasili UNMISS, Dec. 17, 2013. (UNMISS)
12
Tanki la jeshi likifanya doria katika moja ya barabara kuu mjini Juba, Dec. 16, 2013.
Ghasia za kisiasa Sudan Kusini
Back to top
XS
SM
MD
LG