Je, nini maoni ya Waislam kuhusu matayarisho ya sikukuu ya Idd el Fitr
Waislam wako katika maandalizi ya sikukuu ya Idd el Fitr nchini Kenya. Ungana na mwandishi wetu wa Kenya akikuletea maoni ya Waumini wa Dini ya Kiislam kuhusu hali ngumu ya kimaisha iliyopo Kenya na namna wanavyoendelea kumtegemea Munga atawaletea faraja kuweza kuadhimisha sikukuu hiyo.
Matukio
-
Februari 04, 2023
VOA Mitaani: Uamuzi wa Mahakama Kuu Kenya waibua hisia mseto