Wanasema pamoja na changamoto za kuwa na sehemu ndogo ya ibada bado wanaweza kutekeleza ibada zao na hususan katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan. Endelea kusikiliza mahojiano haya maalum na mwandishi wetu Austere Malivika.
Matukio
-
Februari 04, 2023
VOA Mitaani: Uamuzi wa Mahakama Kuu Kenya waibua hisia mseto