Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Mei 04, 2024 Local time: 20:28

Polisi wa Misri wa wafurusha waandamanaji Cairo


Polisi wa Misri wa wafurusha waandamanaji Cairo
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:19 0:00

Polisi wametumia mabomu ya kutowa machozi na mabomba ya maji kuwafukuza maelfu ya waandamanaji walopinga uwamuzi wa mahakama kufutilia mbali mashtaka dhidi ya rais wa zamani Hosni Mubarak.

XS
SM
MD
LG