Mkutano wa Mungano wa Cord kwenye uwanja wa Uhuru Park
update
5
Polisi wa kupambana na ghasia wapiga doria katiika barabara ya Nairobi baada ya kufyetua mabomu ya kutoa machozi kuwatawanya wafuasi wa upinzani kabla ya kuanza mkutano wa " Siku ya Saba Saba " kwenye uwanja wa Uhuru park mjini Nairobi, July 7, 2014.
6
Mfuasi wa Mungano wa upinzani wa CORD ameumia kichwa wakati wa ghasia zilipozuka pale polisi walipopambana na wafuasi wa upinzani kabla ya mkutano wa "Saba Saba" kwenye uwanja wa Uhuru park mjini Nairobi, July 7, 2014.