Baada ya kupoteza mifugo yao, wakazi wa eneo la Karamoja, Uganda wanageukia uchimbaji wa kiwango kidogo cha dhahabu kuweza kumudu maisha yao duni.
Uchimbaji dhahabu unaongezeka Karamoja Uganda
9
The Karimojong are traditionally semi-nomadic pastoralists, but drought and disease have taken a toll on their herds, March 2, 2014. (Hilary Heuler for VOA)
10
Simon Nangiro, mkuu wa chama cha wachimbaji wa Karamoja, ndani ya ofisi yake huko Moroto, Uganda, March 3, 2014. (Hilary Heuler for VOA)