Rais wa Ukraine aondolewa madarakani na bunge huku wananchi wachukua udhibiti wa ikulu na afisi zote za serikali.
Waandamanaji wa upinzani wachukua udhibiti wa ikulu Ukraine
9
Mfuasi wa rais wa Ukraine aliyeondolewa madarakani Viktor Yanukovych, katikati ya ppicha akishambuliwa na wafuasi wa upinzani mjini Kiev.
10
Mpinzan i mmoja akipeperusha bendera ua Umoja wa laya katika nje ya makazi ya mapumziko ya Rais Viktor Yanukovych huko Mezhyhirya.
11
Wapinzani wa serikali wakisimama nje ya jengo la Bunge la Ukraine mjini Kiev
12
Kiongozi wa upinzani wa Ukraine na mkuu wa chama cha UDAR (Punch) Vitaly Klitschko (Kati mbele) azungumza na wabunge wenzake pamoja na spika mpya waq bunge Oleksander Turchynov (Kulia) wakati wa kikao cha bunge