Uchaguzi mkuu wafanyika Zimbabwe.

Wazimbabwe wakisubiri kupiga kura ya urais na bunge mjini Harare Julai 31, 2013.

Wazimbabwe wakisubiri katika mstari kupiga kura zao kwenye mji wa Mbare nje kidogo ya Harare.

Mtu mmoja akifuatilia zoezi la upigaji kura katika basi la kampeni la rais Robert Mugabe karibu na kituo cha kupigia kura kwenye mji wa Harare.

Wazimbabwe wakiwa kwenye mstari kusubiri kupiga kura kwenye mji wa Morondera.

Mmoja wa wapiga kura akipiga kura yake.