Accessibility links
Skip to main content
Skip to main Navigation
Skip to Search
Home
United States
U.S. News
All About America
Silicon Valley & Technology
Immigration
World
Africa
The Americas
East Asia
Europe
Middle East
South & Central Asia
Ukraine
Press Freedom
China
Iran
Broadcast Programs
Follow Us
Languages
Search
Search
Previous
Next
Breaking News
Mlipuko wa bomu Mogadishu, Somalia
February 13, 2014 3:50 PM
update
February 13, 2014 4:36 PM
Watu watatu wauliwa na watano kujeruhiwa wakati bomu lililotegwa ndani ya gari kulipuka mbele ya mlango wa uwanja wa ndege wa Mogadishu, Somalia, Alhamisi.
1
Muendesha pikipiki akipita katika eneo lililotokea mlipuko wa bomu karibu na mlango wa kuingia uwanja wa ndege wa mji mkuu wa Somalia Mogadishu, Feb. 13, 2014.
2
Mtu akizungumza kwa simu anapita mbele ya eneo la mlipuko wa bomu mbele ya mlango wa uwanja wa ndege wa mji mkuu wa Somalia capital Mogadishu, Feb. 13, 2014.
3
Polisi wa Somalia wakikakua eneo la mlipuko wa bomu karibu na mlango wa uwanja wa ndege wa Mogadishu, Feb. 13, 2014.
4
Mwanajeshi mmoja wa jeshi la Somalia akiokota mabaki kutokana na mlipuko wa bomu Mogadishu, Feb,13, 2014.
Mlipuko wa bomu Mogadishu, Somalia
Back to top
XS
SM
MD
LG