Accessibility links
Skip to main content
Skip to main Navigation
Skip to Search
Home
United States
U.S. News
All About America
Silicon Valley & Technology
Immigration
World
Africa
The Americas
East Asia
Europe
Middle East
South & Central Asia
Ukraine
Press Freedom
China
Iran
Broadcast Programs
Follow Us
Languages
Search
Search
Previous
Next
Breaking News
Wanamgambo wa kiislamu wavamia maduka ya westgate Nairobi
September 23, 2013 2:56 PM
Mwishoni mwa wiki wanamgambo wanaosadikiwa kuwa al- shabab walivamia maduka ya kifahari ya westgate mall mjini Nairobi. watu zaidi ya 60 wamekufa na wengine zaidi ya 175 wamejeruhiwa.
1
Moshi mkubwa ukifuka kutoka kwenye jengo la westgate mall Septemba, 23 ,2013.
2
Waokozi wa shirika la msalaba mwekundu wakikimbia nje ya ya jengo la Westgate Mall mjini Nairobi baada ya ufyatuaji wa risasi.
3
Vikosi vya usalama vya Kenya vikiwa nyuma ya ukuta nje ya jengo la Westgate Mall mjini Nairobi, Septembam, 23, 2013.
4
Watu wakichangia damu kwa watu waliojeruhiwa kwenye shambulizi katika jengo la westgate Mall.
Load more
Wanamgambo wa kiislamu wavamia maduka ya westgate Nairobi
Related
Mateka zaidi waokolewa katika shambulizi la kigaidi Kenya
Back to top
XS
SM
MD
LG