Mwishoni mwa wiki wanamgambo wanaosadikiwa kuwa al- shabab walivamia maduka ya kifahari ya westgate mall mjini Nairobi. watu zaidi ya 60 wamekufa na wengine zaidi ya 175 wamejeruhiwa.
Wanamgambo wa kiislamu wavamia maduka ya westgate Nairobi
9
Wanawake waliobeba watoto wakikimbia kutafuta usalama huku polisi wenye silaha wakiwasaka watu wenye silaha katika jengo la westgate Mall mjini Nairobi, Septemba 21, 2013.
10
Mama na watoto wake wakiwa wamelala chini wakijifisha kuhofia watu wenye silaha katika jengo la maduka ya Westgate Mall mjini Nairobi Septemba, 21, 2013.