Wanamgambo wa kiislamu wavamia maduka ya westgate Nairobi
Mwishoni mwa wiki wanamgambo wanaosadikiwa kuwa al- shabab walivamia maduka ya kifahari ya westgate mall mjini Nairobi. watu zaidi ya 60 wamekufa na wengine zaidi ya 175 wamejeruhiwa.
Wanamgambo wa kiislamu wavamia maduka ya westgate Nairobi