Accessibility links
Skip to main content
Skip to main Navigation
Skip to Search
Home
United States
U.S. News
All About America
Silicon Valley & Technology
Immigration
World
Africa
The Americas
East Asia
Europe
Middle East
South & Central Asia
Ukraine
Press Freedom
China
Iran
Broadcast Programs
Follow Us
Languages
Search
Search
Previous
Next
Breaking News
Mali yajiandaa kufanya uchaguzi mkuu.
July 25, 2013 7:46 AM
Raia wa Mali sasa wanajiandaa kufanya uchaguzi mkuu.
1
Mmjoa wa wanachama wa Tuareg akicheza katika kampeni za mkutano wa mgombea urais Ibrahim Boubacar Keita kwenye mji wa Timbuktu Julai 24 , 2013.
2
Mpiga kura akitafuta jina lake katika orodha ya wapiga kura kwenye kituo cha Bamako, Mali, Julai 23, 2013.
3
Mchuuzi akipita katika duka akiwa na picha zilizopambwa matukio ya uchaguzi ya kuunga mkono mgombea Dramane Dembele katika soko katikati ya Timbuktu.
4
Issa Djire mfuasi wa mgombea urais Dramane Dembele akiwa amesimama karibu na picha ya Dembele nje ya nyumba yake mjini Bamako , Mali.
Load more
Mali yajiandaa kufanya uchaguzi mkuu.
Back to top
XS
SM
MD
LG