Accessibility links
Skip to main content
Skip to main Navigation
Skip to Search
Home
United States
U.S. News
All About America
Silicon Valley & Technology
Immigration
World
Africa
The Americas
East Asia
Europe
Middle East
South & Central Asia
Ukraine
Press Freedom
China
Iran
Broadcast Programs
Follow Us
Languages
Search
Search
Previous
Next
Breaking News
Milio ya Risasi yasikika nje ya Jengo la Bunge Marekani
October 03, 2013 10:18 PM
Eneo la bunge la Marekani U.S. Capitol liliwekwa katika hali ya tahadhari Alhamisi mchana baada ya milio ya bunduki kuripotiwa nje ya jengo hilo, mtu mmoja inasemekana amejeruhiwa.
1
Watu wakikimbia kuokoa maisha yao baada ya milio ya risasi kulia Capitol Hill mjini Washington, D.C., Oct. 3, 2013.
2
Watu wakiwa wamelala chini kukwepa baada ya kusikia milio ya bunduki mjini Washington.
3
Polisi wakifuatilia hali hiyo Capitol Hill baada ya milio ya bunduki kuripotiwa karibu na mitaa ya 2nd Street NW na Constitution Avenue.
4
Polisi wa jengo la bunge wakiwa katika hali ya tahadhari Capitol Hill. (Diaa Bekheet/VOA)
Load more
Milio ya Risasi yasikika nje ya Jengo la Bunge Marekani
Back to top
XS
SM
MD
LG